Tujipime leo Jf, tunaupendo wa kweli?

Tujipime leo Jf, tunaupendo wa kweli?

habari ya hapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
12,789
Reaction score
8,753
Upendo haupo katika maneno, upendo huonekana kwa matendo, huonekana kwenye raha na huthibitika wakati wa shida, daima upendo una sura 2 japo wengi wetu twaijua moja, wakati wa raha, faraja, nyimbo na zawadi kedekede, tunajisahau na kuridhika kwa upendo huo, kimsingi kila upendo una kipimo chake wakati wa shida, raha na wakati wa magonjwa, wakati ambao unaonajionea tabia na kasoro mbalimbali hapo ndipo upendo hupimwa.

Yule anayeweza kusimama na ww kwa matatizo, wakati wengine kwa kawaida wangeweza kukukimbia, yule ambaye asingependa kuona unaharibikiwa, yule anayeweza kukutunzia siri zako za ndani wakati wengine wangekutangaza, yule ambaye hatakama mkikosana hapendi kukuona ukiseteseka, wakati wengine wangefurahia na kukuona ukiharibikiwa kabisa, tulio wengi hapa duniani tanahangaika kupenda vinavyopendeza tunasahau kuwa kupenda vinavyopendeza hakuna thamani isipokuwa kupenda visivyopendeka,

Hebu tujipime leo wana JF, tuna upendo wa kweli?? ulifanyaje wakati nduguyo/mpenzi alipokukosea? ulimsengenya au ulimuombea, ulimpenda bure au ulimpaka matope??


 
Upendo haupo katika maneno, upendo huonekana kwa matendo, huonekana kwenye raha na huthibitika wakati wa shida, daima upendo una sura 2 japo wengi wetu twaijua moja, wakati wa raha, faraja, nyimbo na zawadi kedekede, tunajisahau na kuridhika kwa upendo huo, kimsingi kila upendo una kipimo chake wakati wa shida, raha na wakati wa magonjwa, wakati ambao unaonajionea tabia na kasoro mbalimbali hapo ndipo upendo hupimwa.

Yule anayeweza kusimama na ww kwa matatizo, wakati wengine kwa kawaida wangeweza kukukimbia, yule ambaye asingependa kuona unaharibikiwa, yule anayeweza kukutunzia siri zako za ndani wakati wengine wangekutangaza, yule ambaye hatakama mkikosana hapendi kukuona ukiseteseka, wakati wengine wangefurahia na kukuona ukiharibikiwa kabisa, tulio wengi hapa duniani tanahangaika kupenda vinavyopendeza tunasahau kuwa kupenda vinavyopendeza hakuna thamani isipokuwa kupenda visivyopendeka,

Hebu tujipime leo wana JF, tuna upendo wa kweli?? ulifanyaje wakati nduguyo/mpenzi alipokukosea? ulimsengenya au ulimuombea, ulimpenda bure au ulimpaka matope??



Lkn kwel
 
mi nilimuangalia tu na bado namuangalia ila sijui kama nampenda au lah.
 
nilimfariji iliaone tatizo lake ni la kawaida na linaweza kupata ufumbuzi..nilikuwa karibu nae na kutumia muda mwingi kuwa nae tofauti na kipindi ambacho hakupata tatizo ili asijione mpweke na ametengwa na ampendaye..nilimpa msaada wa kifedha pale ilipobidi/alipokwama...
 
Mi hua namuombea huzuni yake ni yangu
 
Mnadanganyana... Nobody knows what is True Love..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom