SUKAH
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 1,806
- 2,043
Jamaa amekulia mtoni sana yule, hata Kiswahili chake tu utakisikia sio cha kibongo. Yupo USA kwa sasa.Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Jamaa amekulia mtoni sana yule, hata Kiswahili chake tu utakisikia sio cha kibongo. Yupo USA kwa sasa.Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Yes yes. Pia kama unakumbuka hii nyimbo iligombaniwa na makundi mawili. Watengwa na Waswahili. Ilileta bifu sana kati ya makundi haya mawili. Maskani yao ilikua Msasani....Kiitikio walimshirikisha Mangustino. Moja ya Tungo kali sana.
Unaelewa kinachozungumzwa au unadandia tu? Soggy Doggy na Mad Ice ni one hit wonders?1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy
Vipi,niendelee au inatosha?
Dah! Watu wagumu kuelewa asee.Girlfriend - TID
Yani wabongo wagumu kuelewaMkuu soma kwanza uzi unahusu nini sugu ana ngoma nyingi tu zilizohit kwa kipindi hicho.
Pia umechanganya mambo J,I kidato kimoja imetoka mwaka 2006 wakati nyimbo ya Top c- lofa imetoka 2011 kipindi cha sharobaro records ya bob junior, msimu ambao sharo millionea alikuwa anamla shilole
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
We mzee noma..Waswahili - Pengo...
Kila leo nafikiriaaaa, sana, Pengo gani liliacha historia... Sanaaa
Suma anazo ngoma nyingii..Suma mnazaleti - chukua time
Aisee kama unayo tupia...nikiitafuta mtandaoni ni KERO, links ni nyingi sana mpk inashindwa ku-downloadWaswahili - Pengo...
Kila leo nafikiriaaaa, sana, Pengo gani liliacha historia... Sanaaa
Iangalie YouTubeAisee kama unayo tupia...nikiitafuta mtandaoni ni KERO, links ni nyingi sana mpk inashindwa ku-download
Asante sana. Mangustino amenogesha sana ktk huo wimboIangalie YouTube
Waswahili pengo
Jamaa walikua mbele ya muda. Huyo jamaa wa verse ya pili ni mshikaji sana.
Kuna maeneo mwaka huu huu tumebang sana Huwa ana gita lake Huwa tunaweza kaa anapiga Gita sisi na washikaji tunapiga Tungi Huku tuna enjoy live band yetu
Fanya isikilize ngoma hiyo sawa
Hakika hakikaAsante sana. Mangustino amenogesha sana ktk huo wimbo
We jamaa ni mtu wa msasani/mikocheni?Iangalie YouTube
Waswahili pengo
Jamaa walikua mbele ya muda. Huyo jamaa wa verse ya pili ni mshikaji sana.
Kuna maeneo mwaka huu huu tumebang sana Huwa ana gita lake Huwa tunaweza kaa anapiga Gita sisi na washikaji tunapiga Tungi Huku tuna enjoy live band yetu
Fanya isikilize ngoma hiyo sawa
Naaam kakaWe mzee noma..
Huyo jamaa Huwa namwitaga Kuna ka PuB
Na gita lake tuna Anza piga ngoma live Huku tunakula gambe
Ukisikiliza hii NGOMA jamaa walikua mbele ya mudaa sio sirii