Fallback
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 11,400
- 20,572
HAO wanaitwa Sold Group FamilyMechi Kali kati ya uhai na kifo sijui aliimba nani
HAO wanaitwa Sold Group FamilyMechi Kali kati ya uhai na kifo sijui aliimba nani
Blad Key Vitu vimepanda bei1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.
2: Picko - Kikongwe (RIP)
3: JI -Kidato kimoja
4: Top C -Lofa
5: C-sir madini - Kifungo huru
Tukumbushane nyingine
Video ya hii ngoma ilikuw kali sana.. creativity.. sijapata AUDIO yenye HQ mpk sasa..Enika - Baridi
Solid Ground FamilyMechi Kali kati ya uhai na kifo sijui aliimba nani
Picco ft ShozdearPicco kama lini?
Picco alikuwa na nyimbo zaidi ya moja zilizohit