Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Mwirobareee! Naaaaaaaaaaam! Kuanzia miaka hiyo ya RFA na radio One. Top Manyota, Top Manyota, Mwirobareee na wengine waliweza kuleta furaha maishani mwangu pamoja na wasanii wazuri wa Bongo fleva km Afande Sele, Prof J, J Nature n.k Ongezea wengine marufu kwa mawasiliano na kutuma salamu redioni unaoona walikupa faraja ya maisha