mikoba2000
Senior Member
- Jun 22, 2016
- 103
- 43
Siku hizi mdudu wa Rushwa hata akikuuma hakudhuru!
Sikiliza Bibi Umeme - mtangazaji akiitwa Mwaraha
Juma Nkamia, sele Mhogora1. Dunstan Tido Mhando.
2. Suleiman Kumchaya.
3. Ben Kiko (Benedict Kikoloma - Homeboy) - Wakati wa vita ya nduli Amin.
4. Leonard Mambombotela???
5. Idd Rashid Mchata - Mchatta (kulikuwa na KM Chadema/Mtangazaji na Refa (nimekumbushwa).
6. (Abdul Masoud)inasemekana aliuawa kwa utapeli 80's. Wamenikumbusha.
7. Mzee Kijaruba Abdallah Mlawa.
8. Mikidadi Mahmoud. (Bongo Celebrity).
9. Julius Nyaisanga.
10. Sango Kipozi.
11. Charles Hilary.
12. Mshindo Mkeyenge.......
Dominic chilambo20. Michael Katembo
21. Abdul Ngalawa
22. Halima Mchuka
23.....................
24......................
25......................
ItakuwaNdugu ni mkenya nini sisi tunazungumzia RTD wewe unatuletea watu wa KBC
Tumbo Tamimu RisasiTumbo lisasi.......
Tumbo Risasi alishafariki, Mungu amurehemu.Tumbo Tamimu Risasi