Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

poleni na majukumu wana jamvi leo nmekumbuka redio yetu ya taifa ambao zamani iliitwa radio tanzania hasa nlichokumbuka kipindi cha salamu kwa wagonjwa kombola na kipindi cha watoto wetu.
Mwana jf wa kipindi kile unakumbuka kipindi gani???
 
1. Dunstan Tido Mhando.

2. Suleiman Kumchaya.

3. Ben Kiko (Benedict Kikoloma - Homeboy) - Wakati wa vita ya nduli Amin.

4. Leonard Mambombotela???

5. Idd Rashid Mchata - Mchatta (kulikuwa na KM Chadema/Mtangazaji na Refa (nimekumbushwa).

6. (Abdul Masoud)inasemekana aliuawa kwa utapeli 80's. Wamenikumbusha.
7. Mzee Kijaruba Abdallah Mlawa.

8. Mikidadi Mahmoud. (Bongo Celebrity).

9. Julius Nyaisanga.

10. Sango Kipozi.

11. Charles Hilary.

12. Mshindo Mkeyenge.......
Juma Nkamia, sele Mhogora
 
Hivi Josephine Liumba naye ashakuwa Mkongwe? Ghanie Jumbe nae pia...

Ukishakaa eneo moja la kazi kwa zaidi ya 10 years Tayari unakuwa mkongwe au mazee?
 
Kwenye utangazaji Masoud Masoud si Wa muda mrefu kulinganisha na hao uliowataja, alichipukia kwenye mambo ya u DJ miaka ya 80, nakumbuka alikuja Msasani beach club na Studio 35 baada JETSET kumaliza mkataba, wakati huo akijiita NIGA JAY, Niko tayari kusahihishwa
 
Wakuu km kuna mtu ana tune mbalimbali za viashiria vya vipindi rtd enzi zile aziupload bas
 
Back
Top Bottom