GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,030
Asubuhi hii akizungumza mubashara kabisa katika Kipindi Kizuri ambacho GENTAMYCINE nakipenda cha Afya Point cha UFM 107.3 Mhz cha kila Jumamosi Saa 2 Kamili hadi Saa 3 Kamili Mtangazaji ambaye pia ni Daktari Kitaaluma Waziri Ndonde Saa 2 na dakika 3 aliutaja Mtandao huu wa JamiiForums kuwa ndiyo Mtandao Bora wa Habari na wa Watu Kujengana Kifikra na Kuburudika kwa Michango yao.
Hata hivyo ukiachilia huyu Mtangazaji Dokta Waziri Ndonde wa Azam Media Kuifagilia JamiiForums pia hata Mtangazaji wangu Bora kwa sasa Tanzania nzima ( hasa katika Television ) Farhia Middley wa IPP Media nae mara kwa mara akiwa katika Kipindi chake Kizuri ambacho Mimi GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima ( Kibabe ) cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 4 Kamili amekuwa akiutaja na Kuusifia mno huu Mtandao huku akisema kuwa ndiyo mahala ambako huwa anashinda mno Kuhabarika, Kuelimika na Kuburudika.
Haya Watangazaji wengine Shime Kwenu pia kuanzia sasa nanyi Kuupaisha huu Mtandao wangu pendwa na tukuka wa JamiiForums katika Vipindi vyema mbalimbali vya Redio na Runinga nikiamini na nikiwa na uhakika wa 99% kuwa JamiiForums inafuatiliwa na Kusomwa na Waandishi wa Habari wa Tanzania na JamiiForums ndiyo Chanzo Kikuu chao cha Taarifa / Habari yoyote ile.
Kwa wale ambao mtapenda Kusikiliza Mtangazaji huyo Dokta Waziri Ndonde alipoifagilia JamiiForums nendeni katika Instagram Page ya Daktari Bingwa wa Watoto Edward Machage ambaye ndiyo huwa anatema Madini ya Kiafya na Tiba Kipindini mkamsikie kwani Kipindi chote huwa Kinarekodiwa nae ili baadae Kisikilizwe na ambao hawakukisikia / hawakusikiliza.
Kila la Kheri Simba na Yanga Ugenini.
Hata hivyo ukiachilia huyu Mtangazaji Dokta Waziri Ndonde wa Azam Media Kuifagilia JamiiForums pia hata Mtangazaji wangu Bora kwa sasa Tanzania nzima ( hasa katika Television ) Farhia Middley wa IPP Media nae mara kwa mara akiwa katika Kipindi chake Kizuri ambacho Mimi GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima ( Kibabe ) cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 4 Kamili amekuwa akiutaja na Kuusifia mno huu Mtandao huku akisema kuwa ndiyo mahala ambako huwa anashinda mno Kuhabarika, Kuelimika na Kuburudika.
Haya Watangazaji wengine Shime Kwenu pia kuanzia sasa nanyi Kuupaisha huu Mtandao wangu pendwa na tukuka wa JamiiForums katika Vipindi vyema mbalimbali vya Redio na Runinga nikiamini na nikiwa na uhakika wa 99% kuwa JamiiForums inafuatiliwa na Kusomwa na Waandishi wa Habari wa Tanzania na JamiiForums ndiyo Chanzo Kikuu chao cha Taarifa / Habari yoyote ile.
Kwa wale ambao mtapenda Kusikiliza Mtangazaji huyo Dokta Waziri Ndonde alipoifagilia JamiiForums nendeni katika Instagram Page ya Daktari Bingwa wa Watoto Edward Machage ambaye ndiyo huwa anatema Madini ya Kiafya na Tiba Kipindini mkamsikie kwani Kipindi chote huwa Kinarekodiwa nae ili baadae Kisikilizwe na ambao hawakukisikia / hawakusikiliza.
Kila la Kheri Simba na Yanga Ugenini.