Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Kwa wale tuliozaliwa katika mazingira ya kitanzania halisi, mtakumbuka wakati wa utotoni wazazi walikuwa wanam-refer
mtoto flani mwenzio kama 'mchumba' wako au wewe mwenyewe ulikuwa unatreat kama 'mchumba' wako. Hivi bado
unamkumbuka? Mliwahi kucheza kibaba baba na kimama mama? Mliwahi ku -do? Unajua alipo sasa? Mkikutana huwa
inakuwaje?
mtoto flani mwenzio kama 'mchumba' wako au wewe mwenyewe ulikuwa unatreat kama 'mchumba' wako. Hivi bado
unamkumbuka? Mliwahi kucheza kibaba baba na kimama mama? Mliwahi ku -do? Unajua alipo sasa? Mkikutana huwa
inakuwaje?