Solothang maneno yake hayajaanguka,,,,watangazaj ndo mameneja,,,,,
Vidato sita nilivyopitia ndo vinavyonisaidia ubunifu ukizingatia hata mkinibania ni kipaji tu ni mtazamo tu msikasirike washkaji haya mawazo tu
Solothang maneno yake hayajaanguka,,,,watangazaj ndo mameneja,,,,,
Saleh jabri - ice ice baby!anasema "naona unanifuata kwa kujamping,huku wenzio wabakupumping,sikutaki sikupendi kwa kuwa wewe ni feki,huna sura nzuri wala huna back,nipo kwenye gari na rafiki yangu sele,kwenye 504 nasikia naitwa na mwanamke mweusi ana macho kama pusi!yoyo
Zote ulizotaja ni new school bado sijaona old xul kwenye sredi,unazijua hizi?
1.Oya msela oya?
2.Uniques sisters-Boy is mine
3.Sos B-Kukuru kakara zako wewe
4.Sharp Shooters-Ubandidu
5.Hasheem-In the shadow
6.Afro Reign-Saa za kazi
Aire mchuma umetoka msela naondoka naingia mitini
Jinsi kijana anavyobadili tabiaaaa inavyoonekana amesahau mila ya mtanzania.tabia za kishenzi shenzi toka uswahilini umezidi..unasugulia viatu brashi ya kuoshea vyombo
Umetoka huko nje una michanga rundo.prukuti ndani mgumu km nyundo misoksi hujaifua inanuka uvundoo..ana mademu si chini ya kumi si shemeji yetu hatujui yupi.si tunakichofanya rafiki zake kumkanyaa akigonga hodi mwenzie akichekelewa kufungua kanya kayajaza nabaki mdomo gaga katu nsijue cha kufanyaaa...aah nature wee si urudie enzi zako zile ngoma mtu unaifeel mpaka moyoni
Ile nyimbo ya Mdundiko waliimba akina nani vile??
Lady Ra hujambo?Ana miaka chini ya 18-Sugu,
Boss nipe Mshahara wangu - Wajamaa wa Mwanza,
KKZ- Sos B,
Mauzauza- Manzese Crew,
We Bishoo tu- Jay Mo,
Sijambo, za kwako?
ile nyimbo ya mdundiko waliimba akina nani vile??
Ana miaka chini ya 18-Sugu,
Boss nipe Mshahara wangu - Wajamaa wa Mwanza,
KKZ- Sos B,
Mauzauza- Manzese Crew,
We Bishoo tu- Jay Mo,
Mauza uza si ya Gangwe Mob kweli? "Mauza uza haa mauza uza mambo zig zaga shagalabaghala"
Kukulu Kakala Zako Wewe Zitakuponza acha wee acha.