Ilikuwaje boss,simulia kidogo basiMimi ni miongoni mwa wanusurika ktk Ajali hio
Sintoisahau hio tukio until the end of my life
Ilikuwaje boss,simulia kidogo basiMimi ni miongoni mwa wanusurika ktk Ajali hio
Sintoisahau hio tukio until the end of my life
Pole sana nduguHii ajali ilibadili kabisa mwelekeo WA maisha yangu maana nilimpoteza baba yangu kipenzi, yeye ndo alikuwa kila kitu katika kulea familia hivyo baada ya ajali kila kitu kikasimama ghafla. Shukrani kwa mama yetu aliyeweza kusimama kidete na kutupa nuru mpya.
Labda hivyo kwa screpaTungechukua tu hata spea na vyuma chakavu
Pole, apumzike kwa amani mamaHii siku mama angu mzazi aliokoka baada ya kuambiwa meli imejaa so aje cku nyingine mpk inazama mzee alijua mama yupo kwny hii meli sema alikuja kufariki katka mazingira tofauti rest in peace mama
hee we kweliKipindi hicho tuliacha kula samaki maana ilikuwa ukimpasua samaki lazima ukutane na viungo vya binadamu
Vitendo vya ngono majini? Labda ni mambo ya kiimani hayo ila kisayansi inakuwa na sababu zakeNimewahi kufanya safari na hii meli mara kadhaa siku za hapo nyuma, Ukweli hii meli ilikuwa si chakavu, Mimi ni mvuvi wa siku nyingi sana, moja ya mambo ambayo avitakiwi ukiwa ziwani ni vitendo vyovyote vya kufanya ngono majini, binafsi ktk safari ndani ya meli hiyo nikiwa ninasafiri nimeshuhudia mara kadhaa abiria wakitenda matendo hayo! Majini huwa kuna majini awapendi huo uchafu, Pia mbali ya idadi kubwa ya watu siku ya tukio la kuzama hiyo meli, Abiria kuelekea upande mmoja nayo ni moja ya sababu ya kutokea maafa siku ile ya tukio la MV Bukoba,pamoja na kwamba siku ile ya tukio hali ya ziwa ilikuwa shwali.
Itakua senene za kina nshomileMkuu hii meli ndo wanasemaga muwa uliizamisha si ndo hii mkuu
So mpaka leo ipo chini au washaitoa?Sio rahisi hivyo ukichukulia ziwa ni inland hakuna meli kubwa ya kuivuta kutoka ndani
Ilikuaje mkuu? Yani alikua nani na alitoboa vp!
!
Ila pamoja na yooote kuna yule mpumbavu ambaye alipanda juu ya Meli akatoboa ili aokoe watu. Yule mtu sijui alikuwa na akili gani.
Ilikuaje mkuuTatizo ni kwamba, ilitumika akili ndogo za wanasiasa in attempt to rescue the victims, they refused to heed to professional advise.
Ni nani huyu natamani mjua!
!
Ila pamoja na yooote kuna yule mpumbavu ambaye alipanda juu ya Meli akatoboa ili aokoe watu. Yule mtu sijui alikuwa na akili gani.
Gharama za kuitoa hiyo meli ni bora kununua tu mpyaAh we.
Inahitaji mashine kubwa sana kuitoa huko,meli ni meli tu.
Umeishawahi kuona winch zake???
Mkuu kwan ilianza kuzama kwa muda gani? Mpaka ikawa full kuzama? Maana mpaka watu wanaoza inaonekana ilikaa kwenye maji kwa muda mrefu au ilikuaje kuaje hasaKiukweli ile ajali ni ya kihistoria. Inatisha mno! Mkoa wa Kagera karibia kila mtu alifiwa ...kama si ndugu kuna mtu unamfahamu! Teknolojia mbovu ilitutia hasara kubwa sana. Meli ilizama pole pole hadi inapotea hakuna anayejua la kufanya! Afadhali hata "magenius" waliofikiria kuitoboa ili kuokoa watu ingawa ndio iliongeza kasi ya meli kuzama ikiwa na watu zaidi ya mia nane! Dah!