DOKEZO Niliyoyaona leo Ziwa Victoria muda si mrefu yatajirudia ya MV Bukoba au MV Spice Islanders

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mi bishoo tu

Senior Member
Jun 3, 2023
122
291
Habarini wanajukwaa,

Leo nilikuwa navuka na kivuko cha MV Kamanga upande wa Kamanga katika Ziwa Victoria ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri.

Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150 ila Kwa wanajamvi mliovuka leo idadi ya abiria ni kati ya 700-800! Huku ikiwa imejaza mizigo ya kutosha mpaka kuzua taharuki lwa abiria!

Mamlaka husika kuweni macho janga jingine linaweza tokea kwa uzembe wa wachache likatengeneza tume nyingine ya upigaji.

Mjumbe hauawi.
Kivuko.JPG

Kivuko 2.JPG


=================

Pia soma: Barua ya wazi kwa Rais Samia kuhusu Kivuko cha Kamanga

 
Habarini wanajukwaa,Leo nilikuwa navuka na kivuko cha Mv.Kamanga upande wa kamanga katika ziwa victoria,ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri.Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150.Ila Kwa wanajamvi mliovuka leo idadi ya abiria ni kati ya 700-800!Huku ikiwa imejaza mizigo ya kutosha mpaka kuzua taharuki Kwa abiria!Mamlaka husika kuweni macho janga jingine linaweza tokea Kwa uzembe wa wachache likatengeneza tume nyingine ya upigaji

Mjumbe hauawi
Habari zinaanzaga kimasihara HivI hivi
One day tutaukumbuka huu uzi
 
Habarini wanajukwaa,

Leo nilikuwa navuka na kivuko cha Mv.Kamanga upande wa kamanga katika ziwa victoria,ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri.

Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150. Ila Kwa wanajamvi mliovuka leo idadi ya abiria ni kati ya 700-800! Huku ikiwa imejaza mizigo ya kutosha mpaka kuzua taharuki Kwa abiria!

Mamlaka husika kuweni macho janga jingine linaweza tokea kwa uzembe wa wachache likatengeneza tume nyingine ya upigaji.

Mjumbe hauawi
Mtanikumbuka
 
Boya halina msaada wowote kama haujui kuogelea...zaidi tu ya Mwili kupatikana mapema
Mkuu hata kama unajua kuogelea!

boya halisaidii chochote zaidi ya maiti kupatikana mapema!!
Aisee!!!

Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
 
Aisee!!!

Na mbwembwe zangu kila ninapopanda hivyo vivuko nakaa karibu na lile furushi la maboya, kumbe huwa najisumbua tu! Daraja likamilike tu chapchap sasa
Unajua boya linasaidia muda mchache sana.. Na pia watu hawajui unalishikaje boya ndani ya maji..

Ziwani kuna upepo na mawimbi makubwa.. Tofauti na swimming pool ambapo maji yametulia..

Wengi hawana uzoefu wa kucheza na hayo maji yenye mawimbi makubwa ziwani zaidi ya kupanic... Kelele... Na kupelekwa mbali... Na kupotelea humo
 
Unajua boya linasaidia muda mchache sana.. Na pia watu hawajui unalishikaje boya ndani ya maji..

Ziwani kuna upepo na mawimbi makubwa.. Tofauti na swimming pool ambapo maji yametulia..

Wengi hawana uzoefu wa kucheza na hayo maji yenye mawimbi makubwa ziwani zaidi ya kupanic... Kelele... Na kupelekwa mbali... Na kupotelea humo
Wewe unatishika bure hujui habari za ziwani!!ukiwa na boya utazamaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom