Baba hajambo binti?kumbukumbu zingine sio za kukumbushana....siku ishaharibika sijui hata kwanini nimefungua huu uzi
Mkuu nisaidie kidogo hivi walitaka kutoboa kuokoa watu kivip kwamba ilipinduka au ilikuaje mpaka watoboe maana hiyo kutoboa napata picha kama watu walifungiwa sehem au ni vipiKiukweli ile ajali ni ya kihistoria. Inatisha mno! Mkoa wa Kagera karibia kila mtu alifiwa ...kama si ndugu kuna mtu unamfahamu! Teknolojia mbovu ilitutia hasara kubwa sana. Meli ilizama pole pole hadi inapotea hakuna anayejua la kufanya! Afadhali hata "magenius" waliofikiria kuitoboa ili kuokoa watu ingawa ndio iliongeza kasi ya meli kuzama ikiwa na watu zaidi ya mia nane! Dah!
Nia yake ilikuwa njema..
ohooo. poleni sanaWakati ilikuwa hiv
jamaniTuliambulia hako tu
anha sawa.Iliishapote.hapo ni ikiwa inamalizikia dakika chache kabla haijapotea kabisa.
Mkuu fafanuaaaSio rahisi hivyo ukichukulia ziwa ni inland hakuna meli kubwa ya kuivuta kutoka ndani
Dah, kwa kweli maboya Yale ni kwa ajili ya uokozi ila jinsi yalivyofungwa kwa ustadi hata namna ya kuyafungua kwa haraka huwa ni ngumu sana sana, sasa utaona ww uendelee kunywa maji huku unafungua boya au ukimbie. Maana wakati huo pumzi inakuwa inayoyoma kama sio kuisha kabisa. so Yale maboya nadhani yangewekwa kila mahali na sio upande mmoja kama ambavyo huwa nayaona kwenye kigongo ferryIvi naomba niulizew, kwani maboya hayana mchango wowote mbn sioni mtu aliepona coz ya maboya