Nafikiri kama sahani mbili za chips
Duuh hadi nimesisimka mwili.kiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.
Walipigiwa simu tokea wapi mkuu!???na kampuni gani!??ilikua 1996,21 May Kumbuka!!Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.
Nia yake ilikuwa njema..!
!
Ila pamoja na yooote kuna yule mpumbavu ambaye alipanda juu ya Meli akatoboa ili aokoe watu. Yule mtu sijui alikuwa na akili gani.
Alimpigia simu gani ya upepo ? Au satelite...Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.
Tukivuta kwa matingatinga hata 6 bado haiji?Sio rahisi hivyo ukichukulia ziwa ni inland hakuna meli kubwa ya kuivuta kutoka ndani
Kama unayo hebu iweke hapa mkuuNilikuja kufahamu kiundani kilichotokea siku ya ajali ya meli hii pale niliposoma hukumu ya walioshitakiwa kusababisha ajali hiyo. Miongoni mwao alikuwemo captain..
Mashahidi waliotoa ushahidi mahakamani walinipa picha kamili ya kile kilichotokea. Lilikuwa janga kubwa sana.
Simu mwaka 96 kwenye meli?Sound hio boss.Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.
Ah we.Tukivuta kwa matingatinga hata 6 bado haiji?
Kama unayo hebu iweke hapa mkuu
ivi ndo mwonekano wake mpaka Leo???
Iliishapote.hapo ni ikiwa inamalizikia dakika chache kabla haijapotea kabisa.ivi ndo mwonekano wake mpaka Leo???
Ushasahau ya spice islander.Nadhani somo lilipqtikana, haitatokea tena ajali kama ile