lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,965
Kishungi kwa sababu alikuwa mfupi sana.
Thubutu ukutweBwana Pepsi
Kinshuli mzee wa mbio ndefuuu,pale Nsumba kuna kiumbe akiitwa Edward Bitulo,watu walimbatiza Jesus.Alikuwa hatari huyo mitaa ya wahuni yotee hadi kitintale alikuwa anatimba hata iwe saa nane usiku.Nasikia alisha RIP.Wale mlosoma Mwanza secondary miaka hiyo . Alikuwepo mwalimu anaitwa Shija Michael ikabidi aitwe Ndondocha, togolai ak.a osmosis
Kinshuli. a.k.a Maujinga
Majula. a.k.a. Domain
Mgambo.
Seli mkumbo. a.k.a. Concentration