Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Kulikuwa na mwanachama mmoja Brazameni Sijui alienda wapi tena; topiki zake zilikuwa skewed upande mmoja tu na akawa anajua sana kuzijengea hoja na kuzitetea, tena kwa kistaarabu sana.
Pia kina Pundit, huyu jamaa huwa namfananisha sana na Kiranga, pia kuna yule dada Mwafrika wa Kike, na wengineo wengi. Kwa JF ilikuwa JF hasa ya kumkoma nyani giladi!