Tujikumbushe Kipindi kileeee JAMBOFORUM!!

Tina ndiyo mke wangu na tuna mtoto mmoja wa kike!

Enzi hizo Jambo forum balaa ilikuwa,mwanzilishi wa hii kitu kijana wetu Max Melo siku hizi mambo yake mazuri anapaka poda hata watu wake sisi hatukumbuki kabisa ahahahaha

Anachojali yeye Max siku hizi ni wingi wa members na clicks badala ya quality.
 
Hwa watu wako wapi au ndo mambo ya kubadilisha ID,Kuna mtu aliitwa pinky, Jasusui, rev. Fr. Masanilo, fairplay, Lunyungu, Spiderma, Game Theory, Kichuguu, Jasusi, Yo Yo, Mlalahoi, tibwilitibwili, na wengine wengi, mko wapi jamani na hoja zenu za ukweli!

Sie wengine bado tupo ila tunatembelea JF kutokana na mazowea tu, maana huo u-CCM vs u-CHADEMA umeiteka kabisa JF. Nadhani kuna haja ya kitu kama Operesheni Kimbunga au Operesheni Tokomeza (minus ukiukwaji haki za binadamu na mauaji) ili kuirejesha JF katika zama zile zilizoifanya unmissable.
 
Last edited by a moderator:
Enzi zile kulikuwa na mzee Thinkpad, Mtanzania, Maxshimba, Pingilingombe, Shy bajukwaa la dini kiingilio kilikuwa zeroo yaani full kujiachia.

Hawa jamaa ilikuwa hatari nadhani wanawezakuwepo kwa ID zingine maana kama Mtanzania sijamuona miaka sasa.....

wengi sijui walibadili ID zao au walipotea moja kwa moja.

Hawa nadhani wanatumia ID zingine ila walikuwa na michango mizuri sana

Kipindi kile hakukuwa na chitchat jukwaa la wakubwa liliwekewa alama ya mkasi

Mkuu nikisomaga comment zako nacheka tu mwenyewe hahaha

Mmenikumbusha akina Pundit, Blueray, Mshihiri, Naima na wengine wengi. JF ilikuwa haichoshi wala kuchefua.

Kuna jamaa hapo pundit alikuwa hatari sijui wapo wapi hawa watu kwa kweli.

Hwa watu wako wapi au ndo mambo ya kubadilisha ID,Kuna mtu aliitwa pinky, Jasusui, rev. Fr. Masanilo, fairplay, Lunyungu, Spiderma, Game Theory, Kichuguu, Jasusi, Yo Yo, Mlalahoi, tibwilitibwili, na wengine wengi, mko wapi jamani na hoja zenu za ukweli!

Hapo hasa ilikuwa ukimkuta YOYO na Nyani Ngabu wakijibizana utacheka sana hahah
 
Last edited by a moderator:
Nice to hear from you guy, its true jf ya sasa sio sawa na ile ya miaka ile, majukwaa mengine yametawaliwa na siasa, na huko kwenye siasa ni chadema na ccm tu, Kule MMU wamejaa watoto kutoka fesibuku basi tabu tupu


Sie wengine bado tupo ila tunatembelea JF kutokana na mazowea tu, maana huo u-CCM vs u-CHADEMA umeiteka kabisa JF. Nadhani kuna haja ya kitu kama Operesheni Kimbunga au Operesheni Tokomeza (minus ukiukwaji haki za binadamu na mauaji) ili kuirejesha JF katika zama zile zilizoifanya unmissable.
 
Kabla ya jambo forum kulikuwa na bsctimes, na kabla ya bsctimes kulikuwa na tanzanet, hizi zilikuwa forums zilizokwenda shule. Jambo radio kulikuwa na DJ Sure (if I remember correctly) pia tulikuwa tunaweza kusoma post au kujibu bandiko huku mziki unapiga. Kila ukikiingia Tanzanet ulitakiwa uandike "Subscribe" na "Unsubscribe" unapoondoka. Far we come from.

Mkitaka inoge leteni majina ya veterani na mechi zilizokuwa kali zaidi na namba zao

Nadhani katika greatest mistakes alizofanya REGINALD MENGI ni kudharau watu waliokuwa wanachangia kule kwenye forum yake ya DARHOTWIRE matokeo yake watu wakaomba ukimbizi JAMBO FORUM ORIGINAL ...nadhani hii ilikuwa 2002 or something like that

Nishasahau tulikuwa tunajadili nini lakini nijuavyo JAMBO FORUM ilikuwa shule ya kufa mtu...enzi zile MUGABE ndio kawekewa vikwazo huku akina Kitila Mkumbo walikuwa wanahenyeshwa na ma rogue wa vijiweni kwa data

Kuna jamaa alikuwa akiandika sentesi LAZIMA aweke REFERENCE utafkiri anaandika ESSAY

Mtu anayekaribiana naye ni MOHAMMED SAID maaana hata kama humpendi na hoja zake lakini alikuwa akija anakuwekea na reference. Ngumu sana kufanya intellectual discussion na mtu dizaini hiyo maana utajiabisha hata kama humpendi.


Mnamumbuka hawa walikuwa members humu:


Huyu chini ilikuwa halali mpaka asome JF

[*]Kipindi kile mtu ukigonga kopi buku(thread 1000) ulikuwa unatangazwa hapa na mods...tunakupa ma-congratulation kibaooo!!lakini siku hizi wapi bana!!

[*]Kipindi kile watu walikuwa wanakupotezea tu, hawagongi thanx wala nini, na hii haijalishi mtu, hata kama thread imeanzishwa na Invisible watu wanasoma wanakupotezea tu..rejea

[*]Kipindi kile ukichoka kusoma forums basi we ulikuwa unaenda jukwaa la music tu...aagh full burudani, nilikuwa napenda sana kusikiliza zilipendwa akina Mbilia Bel, Franco, Remmy ongala, Taarab n.k...dah siku hizi hamna kitu, nikichoka kusoma naizima laptop yangu.
[/LIST]

  • Mzee Mwanakijii ndio alikuwa the greatest seeder of all times...hope mpaka leo hii namuappreciate.

  • Kipindi hicho members wengi walikuwa kikazi zaidi tofauti na sasa asilimia kubwa ya threads zipo kimapenzi/kimahaba zaidi....(ooh samahani kwa hili MMU)
Tunaweza kuongezea mengine na mengine....:blah::blah::blah:



Yaani mimi kipindi kile nilikuwa napenda sana Bcstimes na jambo Forum.

Wakati ule kulikuwa na wachangiaji great Thinkers haswa.


Napenda sana ukumbi wa SHAIRI ni nilkuwa nachangia hoja haswa. Mtu anaweka shairi lake na watu wanalijibu kishairi. Ilikuwa raha sana.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu,
JF ya sasa haina mashiko hoja ni CCM na CDM na udini.Mimi siku hizi kusema ukweli JF sio source yangu ya news kama zamani na huwa naweza kumaliza hata miezi miwili sijaingia JF.Hamna jipya.I really miss Jambo forum

Ni kweli mkuu. Kuna watu humu wameigeuza JF kuwa mimbari ya mahubiri au ofisi za vyema vyao. I really miss the old JF!
 
uwa nawakubali sana member wa 2009 kushuka chini wengi walikuwa great thinker,ata leo ukibahatika kusoma comments zao utafurahi sana!!
ila siku hizi kuna bavicha,lumumba,uislam vs ukristo,team lowasa,team wekapicha,team bazazi naupuuzi mwingine mwingi kama huu hapa jf
itakuwa ni vizuri kwa sisi member wageni tujifunze kupitia thread za wakongwe hapa JF jinsi walivyokuwa na nidhamu


Hope nami nimo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom