Tujikumbushe kidogo Primary School.

Tujikumbushe kidogo Primary School.

1.Buluga(ilikua ni aina ya uji unaopikwa kwa nafaka zinafanana na ngano)
2.Kitabu cha Juma na Roza-" huyu ni Juma, Juma ana dada. Dada Juma ni Roza.Juma ana rafiki yake anaitwa Damas.....
Oooh..those old good days!
 
Nakumbuka kitabu cha

Juma na Loza

..something Pazi aaagh nimeshaanza kusahau




Sent from Nokla using Jf app

We Kweli ulikuwa kilaza ni pazi na jogoo hiyo adith ilinifanya nikitoka xuli saa 4 naogopa kupita sehem wanayofuga kuku ,ni kashai p school bukoba hapo na rumuli shule ya msingi,nalikumbuka jamaa Moja linaitwa bigambo lilinionea sana matichawangu kama karumuna mkali wa stiki huyo pia Mwl jaalia(rip) kanichapasana.
 
We Kweli ulikuwa kilaza ni pazi na jogoo hiyo adith ilinifanya nikitoka xuli saa 4 naogopa kupita sehem wanayofuga kuku ,ni kashai p school bukoba hapo na rumuli shule ya msingi,nalikumbuka jamaa Moja linaitwa bigambo lilinionea sana matichawangu kama karumuna mkali wa stiki huyo pia Mwl jaalia(rip) kanichapasana.

unantaftia ban we fa.la? kwani mi nimesema Juma na Roza ni mtaa?
 
We Kweli ulikuwa kilaza ni pazi na jogoo hiyo adith ilinifanya nikitoka xuli saa 4 naogopa kupita sehem wanayofuga kuku ,ni kashai p school bukoba hapo na rumuli shule ya msingi,nalikumbuka jamaa Moja linaitwa bigambo lilinionea sana matichawangu kama karumuna mkali wa stiki huyo pia Mwl jaalia(rip) kanichapasana.

Wewe tumesoma wote darasa moja ulikuwa mbumbumbu alafu mkorofi sana,unakumbuka siku ile umekamatwa na ticha unachimba karanga shambani kwake?
 
Ni pm jinalako au nitajie jina la ticha yeyote kaka
 
unantaftia ban we fa.la? kwani mi nimesema Juma na Roza ni mtaa?

We ni k kabisa nnyaaaa,nanikaongelea mitaani hapo au unatafuta wakukufukua kabang nini,usinizoee mbururaa.
Ntakupigia fi
 
UMITASHUMTA...Daaah.... miss those days.. 😉
 
Mi nakumbuka siku ya kufunga shule tu, yule mbabe halafu mbaya wangu ntampiga mangumi halafu ntakimbia kuonana mpaka January anakuwa ashasahau.
 
Siku nzuri ilikuwa siku ya mshahara, maticha wote out Wilayani, sisi tunabaki ni fujo mtindo mmoja.

Mambo ya kushtakiana kwa mwalimu eti amenifanya matusi, kisa umempamia wakati wa kuingia darasani mkiwa mmebanana yalikuwa yananichapisha fimbo kwa sana.
 
Kulikuwa na mambo ya kuchagua gari langu, basi siku tumetoka shule tumeshagawana magari; kwamba lile la kwanza kuja litakuwa la A, la pili litakuwa la B hivyo hivyo mpaka mtu wa mwisho. Hii inakuwa wakati wa kutoka shule ile jioni.

Basi jamaa aliyekuwa namba 2 kwenye kuchagua gari lake likawa baya, akaja akang'ang'ania gari la mtu wa 3 ili yule wa 3 achukue lile la 2 baya, weeee! Mkono ukaibuka kwamba jamaa amemwibia gari, pigana pigana mpaka ticha akatufikia, kuulizia ile kesi sasa ticha alichoka mwenyewe maana hata magari yenyewe yameshapita hata hayaonekani.

Ilibidi kesho yake tuchapwe mstarini kwa kucheza michezo ya kijinga, lakini hatukukoma kugombea magari.
 
Siku nzuri ilikuwa siku ya mshahara, maticha wote out Wilayani, sisi tunabaki ni fujo mtindo mmoja.

Mambo ya kushtakiana kwa mwalimu eti amenifanya matusi, kisa umempamia wakati wa kuingia darasani mkiwa mmebanana yalikuwa yananichapisha fimbo kwa sana.
Aisee walimu wakienda kuchukua mishahara,,raha sana. Full kucheza
 
Kulikuwa na mambo ya kuchagua gari langu, basi siku tumetoka shule tumeshagawana magari; kwamba lile la kwanza kuja litakuwa la A, la pili litakuwa la B hivyo hivyo mpaka mtu wa mwisho. Hii inakuwa wakati wa kutoka shule ile jioni.

Basi jamaa aliyekuwa namba 2 kwenye kuchagua gari lake likawa baya, akaja akang'ang'ania gari la mtu wa 3 ili yule wa 3 achukue lile la 2 baya, weeee! Mkono ukaibuka kwamba jamaa amemwibia gari, pigana pigana mpaka ticha akatufikia, kuulizia ile kesi sasa ticha alichoka mwenyewe maana hata magari yenyewe yameshapita hata hayaonekani.

Ilibidi kesho yake tuchapwe mstarini kwa kucheza michezo ya kijinga, lakini hatukukoma kugombea magari.
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom