Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Mamboz, unakumbuka nini ambacho huwezi kusahau kipindi ukiwa msingi?
Mwalimu alikua akitumia daftari langu la Hesabu darasa la sita na la saba kuwasahihishia wengine, niliamika nikawa "Answer Key"----1999-2000,