Tujikumbushe ILBORU

Tujikumbushe ILBORU

mimi hapa mwanachadema mkongwe na nimesoma ilboru, form 1 mpaka 6,,, kiazi sana wewe,,, wewe nna uhakika, umeletwa pale kimpango, wat special thing do u hav??? Pumba ambazo hua unaongea humu ndani hata anaesoma shule yeyote na kupata division zero ana afadhali kubwa
Kwako waziona pumba! But kwa mtu yoyote aliyespecial lazima akubaliane na mimi. Huwezi kukuta special student anasupport chama kisicho na msimamo, kisicho na mwelekeo, kinachomilikiwa na dini fulani na kabila fulani.
 
Nyie ndio mlikuwa na akili nyingi? nasikia mlikuwa/mapewa mitihani ndio maana vibanda vingi.....a'u dizaini watu waliosoma boys walikuwa wachafu kwa kukopa(kutokuoga)

Pugu Boysss mpooo? Mkandawile alikuwa anaponda sana,Pugu boys walikuwa hawamlipi hela ya tuition.

dah mkuu Yo Yo hiyo kambi nimepita pale 1999 enzi za Juma Wasi wasi, vp unamkumbuka mama pendo alikua akiuza maandazi, afu kuna yanki mmoja walikua wanamuita James Chiggs jamaa alikua celebrity, na pale shop barabarani palikua maarufu xana.
Nakumbu admin block yale maneno DOCEBIT VOS OMNIA. Kitambo sana mkuu.
 
Pugu boys wazee wa fungus!maana mkandawile alikuwa anawaita fungusboy!
Hivi mkandawile yupo wapi?

ila sisi mkuu tulikua hatupati tabu mana kulikua na mademu pale walikua wanasoma mchana saa 8 mpaka 12 walikua wakiitwa taasisi ila later ilifutwa.
Fungus tulikua tunaita saini ya pugu.
Mkuu ulipita mwaka gani pale?
 
ila sisi mkuu tulikua hatupati tabu mana kulikua na mademu pale walikua wanasoma mchana saa 8 mpaka 12 walikua wakiitwa taasisi ila later ilifutwa.
Fungus tulikua tunaita saini ya pugu.
Mkuu ulipita mwaka gani pale?

Acheni kuchakachua hii thread! Hii ni exclusive kwa wana Ilboru tu aka special students aka vipaji maalum. Mambo yenu ya Pugu na fungus zenu yaanzishieni li sredi lake!
 
Wandugu,

Mmenikumbusha mbali sana. Mzulu na hotuba zake za two hours kwa form five and form ones kuwaeleza namna Ilboru ilivyo na kupata three is as good as kufeli. Mikate ya kwa Loning'o.... ukimuuliza mikate shs ngapi, anakuambia "..bia mbili" meaning mia mbili.

Machakura was the great, funny? guy i have ever met. I remember in one of the school baraza iliposemwa kwamba the only means of communication was in English, na ilipofika zamu yake kama kawaida yake kutoa matangazo he started with ...Aroo, after this exercise..." maneno yakamwishia na kicheko kilichofuata toka kwa wanafunzi kilitosha kuvunja baraza kabisa.

That school song:

Shule yangu Ilboru inasifika sana
Popote ninapokwenda inasifika sana
Kwa elimu (sijui na nini) inasifika sana
Shule yangu nakupenda...

Enzi za Mr. Msaki (Headmaster) kama tulivyo muita an object in the box, kwenye ile ofisi yake ambayo ilikuwa kama in hang vile...

Mambo ya half life, mbona ilikuwa raha? 94-96 kulikuwa na a crazy young man PCM anaitwa Frank, the guy was funny... Oh Ilboru!!!

Wakati wa kampeni za uchaguzi jamaa akawa anahutubia wananchi pale uwanja wa kanisani alisema "Ekenywa na Sekondari, oyeee" Jamaa wa Ekenywa wakawa offended kwa kuwa nao walikuwa ni secondary.

Zamu za kukuoboa mahindi kwenye mashine ya shule,

Natamani kuzuru Ilboru kuiona shule hii

Ai! mlikuwa mkiimba eeh! I can only imagine misauti ya wanaume wasomi
Weruweru tuliwakuwa tunawapenda sana wavulana nyie!!
 
Kama upo kwenye hiyo rum komaa mdogo wangu! Ina historia kubwa sana! Miaka yetu kwa miaka 3 mfululizo TO alikuwa anatoka run one

Mwaka wetu TO ni rum 4 hiyo rum 1 ilijaa mashalobalo tu.
 
Don't you remember Ekenywa? Kishuu or Bwashee on the way to Ilkiding'a/Olturoto? I miss thise good days with Bino and Mzulu? Those were the first days of Special school.
 
Hakika ni jambo la kujivunia kusoma ktk skul hii,kwa mazngira now ipo poa na mkuu 2liyenaye n jembe mwanzo mwsho,per4mance ipo njema vijana wanafanya kazi yao......TEGO-DSTV kwakwenda mbele, Oldonyo na Rungwe domz zmekarabatiwa kwa msaada wa Mzee Mengi, gari la shule nw n Land cruise Gx kama za wakurugenzi wa wilaya af kwa kipnd hk xul ipo kwenye mtandao wa British council,yote na yote Ilboru ni mahali pa kipekee sana ingawa kuna walimu flanflan wana mambo ya ajabu xana bifu zao na mkuu wa shule wamezihamishia kwe2. Na wale walo pgwa pnd na Mushi(if we must die) nw hafundshi cz HGL CX WAlimkataa
 
Hakika ni jambo la kujivunia kusoma ktk skul hii,kwa mazngira now ipo poa na mkuu 2liyenaye n jembe mwanzo mwsho,per4mance ipo njema vijana wanafanya kazi yao......TEGO-DSTV kwakwenda mbele, Oldonyo na Rungwe domz zmekarabatiwa kwa msaada wa Mzee Mengi, gari la shule nw n Land cruise Gx kama za wakurugenzi wa wilaya af kwa kipnd hk xul ipo kwenye mtandao wa British council,yote na yote Ilboru ni mahali pa kipekee sana ingawa kuna walimu flanflan wana mambo ya ajabu xana bifu zao na mkuu wa shule wamezihamishia kwe2. Na wale walo pgwa pnd na Mushi(if we must die) nw hafundshi cz HGL CX WAlimkataa

Aisee pigeni buku hapo. Tupo pamoja nanyi. Wasalimie sana wazee wa chui na kitei. Merkizedeki (mpishi) yupo bado?
 
Hakika ni jambo la kujivunia kusoma ktk skul hii,kwa mazngira now ipo poa na mkuu 2liyenaye n jembe mwanzo mwsho,per4mance ipo njema vijana wanafanya kazi yao......TEGO-DSTV kwakwenda mbele, Oldonyo na Rungwe domz zmekarabatiwa kwa msaada wa Mzee Mengi, gari la shule nw n Land cruise Gx kama za wakurugenzi wa wilaya af kwa kipnd hk xul ipo kwenye mtandao wa British council,yote na yote Ilboru ni mahali pa kipekee sana ingawa kuna walimu flanflan wana mambo ya ajabu xana bifu zao na mkuu wa shule wamezihamishia kwe2. Na wale walo pgwa pnd na Mushi(if we must die) nw hafundshi cz HGL CX WAlimkataa

Lord have mercy!!! Nakulilia Ilboru kama ndio product zilizobaki kwakweli........... THIS SOUNDS MORE LIKE DARASA LA SITA SHULE YA MAVURUNZA AISEE

ILBORU INA HESHIMA KUBWA SANA DOGO, HEBU RUDISHA HESHIMA YA SHULE YETU AISEE
 
Hakika ni jambo la kujivunia kusoma ktk skul hii,kwa mazngira now ipo poa na mkuu 2liyenaye n jembe mwanzo mwsho,per4mance ipo njema vijana wanafanya kazi yao......TEGO-DSTV kwakwenda mbele, Oldonyo na Rungwe domz zmekarabatiwa kwa msaada wa Mzee Mengi, gari la shule nw n Land cruise Gx kama za wakurugenzi wa wilaya af kwa kipnd hk xul ipo kwenye mtandao wa British council,yote na yote Ilboru ni mahali pa kipekee sana ingawa kuna walimu flanflan wana mambo ya ajabu xana bifu zao na mkuu wa shule wamezihamishia kwe2. Na wale walo pgwa pnd na Mushi(if we must die) nw hafundshi cz HGL CX WAlimkataa
Duh!!! Kama hali ni hii kweli Iboru yetu imeshaharibika!!
Chief angekuwepo haya tusingeyaona!!!
 
Lord have mercy!!! Nakulilia Ilboru kama ndio product zilizobaki kwakweli........... THIS SOUNDS MORE LIKE DARASA LA SITA SHULE YA MAVURUNZA AISEE

ILBORU INA HESHIMA KUBWA SANA DOGO, HEBU RUDISHA HESHIMA YA SHULE YETU AISEE

Dogo anagaragaza p la Ilboru hivi hivi.Angemwomba Regina amsaidie kuchapa. "Shule yangu Ilboru inasifika sana,...." Halafu this dayz madogo wanafeli sana sio Ilboru ya miaka ile 2002<
 
Back
Top Bottom