All the best.
Vp, katara limepona? Mkuu hapo kwa sasa ni nani?
Mkuu wa sasa anaitwa mutabuzi ametokea babati day
All the best.
Vp, katara limepona? Mkuu hapo kwa sasa ni nani?
Tatizo Madogo siku hizi Usharobaro Mwingi Koma Mdogo wangu Room One ina Historia Mbaya sana Ungekuwa Room Three au Four Ningekuwa na Matumaini na wewe ila Room One aaa mara Nyingi wanaishi washambawashamba na wamenye ha ha ha
IQ yangu ni kubwa sana mkuu..nilikuwa best among special n talented students wa Tabora Boyz na Ilboru.katika members wote humu nimewakubali, isipokua rajeo,,, rajeo nina mashaka kama kweli umesoma ilboru, mboni uwezo wako wa kufikiria ni mdogo kiasi icho???????,,, unaongeaga pumba sana, umesoma ilboru mwaka gani wewe?? Ama labda uliletwa pale kimipango, manake inaelekea wewe ni mtoto wa gamba,,,???
da kaka mwaka gani ulimaliza hapo?....sisi mwakani ndo tunamaliza
Dah,,kitu lecture hall,,wapi kite,msungu,losujaki,mgaya,moshiro,shembilu haaaaaa,,what a memory,x
hi kwa anko john mpishi na babu kibogoyo.!
CDM lazima wakupe mimba maaana kila mda unawaza CDM.IQ yangu ni kubwa sana mkuu..nilikuwa best among special n talented students wa Tabora Boyz na Ilboru.
Kitendo cha kusoma miaka sita kwenye special schools kinadhihirisha uwezo wangu. Hivi kuna CDM aliyesoma special school?
![]()
Nimekumbuka nilipotoka!
IQ yangu ni kubwa sana mkuu..nilikuwa best among special n talented students wa Tabora Boyz na Ilboru.
Kitendo cha kusoma miaka sita kwenye special schools kinadhihirisha uwezo wangu. Hivi kuna CDM aliyesoma special school?
Mpishi Mkuu John watu walikuwa wanadai eti ni Chakla