Ilboru ndio imenijenga..imenifikisha hapa. Huoni mawazo yangu yamekaa kispecial special?Kumbe unaweza ukawa umesoma high school kama Rejao ikawa hasara tupu? Jamani Rejao badilika humu jamvini acha kuandika kama unafikiri kwa masaburi.
Kumbe na wewe kipaji?Da! Sikujua kabisa kama Rejao atakuwa amepita pale kwa kina Chief, Kite, Mswahili aka Shembilu(RIP) Baba chacha a.k.a Mugaya(RIP) then comment zake zimekaa ki- STD V-B!! Badilika bana bro!!
Huyu jamaa dogo sana..Rejao=>Mwigulu Nchemba? From Ilboru to Mazengo high school?
Kumbe na wewe kipaji?
Yaelekea ulikuwa unashinda umenyeni.
Hahah..kweli wewe ulikuwa mzee wa umenyeni!E
Kumbe si kosa lako, utakuwa ulikuwa una 'bundi' sana chemba, ndo maana uwezo wa kufikiria umepungua kiasi hicho! Hukuwa na muda wa kwenda kureflesh Uper pitch, umenyeni, enaboishu au ngalenaro kwa father babu!
Wow thats the place ahsante mkuu Ab-Titchaz, I enjoyed the school nilikua nasomea pale New Assembly kuna vyumba mle ndani yaan ilikua raha sana.Hapa ndipo au sipo washkaji?
![]()
Hii hapa inanikumbusha rum one aka the onerz!!Hapa ndipo au sipo washkaji?
![]()
Hii hapa inanikumbusha rum one aka the onerz!!
Nimewamiss sanaaaa..tulikuwa wazee wa kolabo. Kitei cha mama mchungaji tulikuwa tunakihusudu sana.
Ilboru ndio imenijenga..imenifikisha hapa. Huoni mawazo yangu yamekaa kispecial special?
Nawashangaa sana wana alumni wa Ilboru mnaowashabikia CDM ambayo haina kiongozi hata mmoja aliyesoma Special school
Rejao na wewe umepitia pale kwa Wataalam Bingwa? Angalia heading vizuri isije ukawa Umechanganya na Imboru ha ha ha
Kama upo kwenye hiyo rum komaa mdogo wangu! Ina historia kubwa sana! Miaka yetu kwa miaka 3 mfululizo TO alikuwa anatoka run oneDaaa rejao na wewe ulikuwa room one?....hiyo ndo room yangu kwa sasa bhana
Kama upo kwenye hiyo rum komaa mdogo wangu! Ina historia kubwa sana! Miaka yetu kwa miaka 3 mfululizo TO alikuwa anatoka run one
All the best.Da usikonde ndo hivo tunakomaa kiubishi round ya mwisho hii
Da usikonde ndo hivo tunakomaa kiubishi round ya mwisho hii
Hii hapa inanikumbusha rum one aka the onerz!!
Nimewamiss sanaaaa..tulikuwa wazee wa kolabo. Kitei cha mama mchungaji tulikuwa tunakihusudu sana.