Tujikumbushe ILBORU

Tujikumbushe ILBORU

Dogo anagaragaza p la Ilboru hivi hivi.Angemwomba Regina amsaidie kuchapa. "Shule yangu Ilboru inasifika sana,...." Halafu this dayz madogo wanafeli sana sio Ilboru ya miaka ile 2002<

uh... sie wa early nineties... tushazeeka sasa nikiona hizo short hands na kata k hadi kwenye post za JF nachoka kabisa
 
Kwa wale Ilborins Mnakumbuka hii Misamiati jamani?

KITEI = Kipunga Iva Tule Elimu Inatungoja (Wali)
CHUI = CHUkua chako Iboru (Ugali aka Bondo)
SUMU = Haya yalikuwa Makande
Half Life = Jina Maarufu la kiporo hasa cha SUMU au KIETI ( tulikuwa tunachanganya na Uji)
Umenyeni = Kijiji around Ilboru
Baghdad = Hii siikumbuki mwenye kukumbuka anikumbushie
Golgota = Huu ni Ukumbi juu ya Maktaba ambapo ndipo NECTA inafanyika
Mtego = Chandarua
KUKU = Kalale Upitwe Kama Umesimama ( Usingizi)
Twiga = Sikumbuki
Kufufuka = Kuamka Ucku wa Manane
Bafu Kubwa = Eneo Chini ya Daraja ambako Vijana hupenda kwenda Kuoga
Chief = Mwalimu katili kabisa na mpenda sifa Losujaki ,sijui sasa hivi yuko wapi
Kite = Alikuwa headmaster , Kitemango
Enabo = Enaboishi, hii ni shule Fulani ambayo walikuwa hawaivi na Ngarenaro,totoz zilikuwa
zinagombania Ilborians

Hahaha, unalikumbuka KAYAMBA?
 
IQ yangu ni kubwa sana mkuu..nilikuwa best among special n talented students wa Tabora Boyz na Ilboru.
Kitendo cha kusoma miaka sita kwenye special schools kinadhihirisha uwezo wangu. Hivi kuna CDM aliyesoma special school?


I love CDM and am in CDM.Nimeburuza form six na i was n top ten fom 4.Sema lingine
 
... Collabo = Chakula cha kuchangia, hasa wali wapale kantini au kwa felista.
Wamenye = Watu wa pale pale Arusha (hahaha).

Nawakumbuka sana masela wangu Godfrey Mbowe, Lameck Kassana, Arnold Temba, Henry Kweka, Benson Msemwa, Mohammed Sauko, Justice Ockelleck, Albert Katana Magohe, ...

Ah, I miss those days !!!
 
... Collabo = Chakula cha kuchangia, hasa wali wapale kantini au kwa felista.
Wamenye = Watu wa pale pale Arusha (hahaha).

Nawakumbuka sana masela wangu Godfrey Mbowe, Lameck Kassana, Arnold Temba, Henry Kweka, Benson Msemwa, Mohammed Sauko, Justice Ockelleck, Albert Katana Magohe, ...

Ah, I miss those days !!!

Inaonekana wewe ulikuwa bingwa wa 'kuenea' Enaboishu na Ngarenaro.
 
Duuu kama Rejao ulisoma ILBORU basi na mie najivua gamba kwamba sikusoma ilboru,yani Rejao yani umesoma ilboru wewe? Mmmhh isije ukawa umesoma kantalamba? Anyway badilika mwana,wana wa ilboru hatupo hvyo bwana,sisi ndo waasisi wa Rungwe,kibo hadi Hanangi,chief tulikua tunamuona mwiga tuu,kitemango alikua mchumba tu,shembiru(rip) tulikua tunamchukulia msela tu,room 3,5 na 6 ni nomaaa watu tumepiga point za sebuleni,sasa ilboru naona wanakata viuno tu,ngoma ilikua triangle bweni->Darasani->Dining->Bweni haaaaaa vp ule mto bado upo au umeshakauka? Mwl Akyoo yupo? Naona sasa yupo jembe kwayu.....Kama ulisoma ilboru na haujapata point za sebuleni(3-5 kwa advance) na 7-9 kwa olevo basi jivue gamba
 
I love CDM and am in CDM.Nimeburuza form six na i was n top ten fom 4.Sema lingine
Kaa kimya dogo.Kuwa top ten waona ishu? Unataka na mimi nikuambie nimekuwa TO kwa kipindi chote cha maisha yangu ya shule. Tuliokuwa na maakili enzi zetu tulikuwa tunachukukiwa kusave sehemu nyeti za serikali. Sasa kama wewe upo CDM, kuwa kipaji maalum hakujakusaidia chochote!
 
Duuu kama Rejao ulisoma ILBORU basi na mie najivua gamba kwamba sikusoma ilboru,yani Rejao yani umesoma ilboru wewe? Mmmhh isije ukawa umesoma kantalamba? Anyway badilika mwana,wana wa ilboru hatupo hvyo bwana,sisi ndo waasisi wa Rungwe,kibo hadi Hanangi,chief tulikua tunamuona mwiga tuu,kitemango alikua mchumba tu,shembiru(rip) tulikua tunamchukulia msela tu,room 3,5 na 6 ni nomaaa watu tumepiga point za sebuleni,sasa ilboru naona wanakata viuno tu,ngoma ilikua triangle bweni->Darasani->Dining->Bweni haaaaaa vp ule mto bado upo au umeshakauka? Mwl Akyoo yupo? Naona sasa yupo jembe kwayu.....Kama ulisoma ilboru na haujapata point za sebuleni(3-5 kwa advance) na 7-9 kwa olevo basi jivue gamba
Divishen za single digit kupata ilikuwa must. Nakumbuka ilikuwa ukirudi rum saa saba usiku hukuti mtu, inabidi tu urudi darasani kuzuga hata kama akili imeshachoka!

Nimelimiss sana KATARA.Hivi bado lipo?
 
Daaaaah mmenikumbusha zamani jama..lol


Hii thread kidogo initoe chozi,..imenikumbusha sehemu kubwa sana ya maisha yangu..I spent my SIX years at Ilboru..

My class was the second since the school was named "special school", back in 1994, Form one, Head master akiwa Mtui, tukiwa tunasikia tu habar za Bino na biti zake,..1994 tukiwa bado "nguruwe" tukapigwa na boonge la kunji, baada ya "sumu", "chui", na harage la "special for pigs" lol lilikuwa linateleza mbaya..tukapiga kunji,..that night umeme ukakatika,..ilikuwa soo, so organized, was scary for "nguruwe" ila a moment that will never be forgotten, hapo ndipo nilijua ushirikiano wa wana-ilboru. FFU wakaja ku-rescue familia ya Headmaster, hapo gari (pick up nyekundu) ishaumizwa vibaya, ilisukumwa hadi "upper pitch" lengo lilikuwa kulipeleka "mto tololo".. kesho yake na siku zilizofata zilikuwa za machungu, tulilala kwa hofu, tulikaa juani mchana mzima, some fainted, mwisho, ofisi ya Mtui ikachomwa moto mlangoni,..all ziliisha kwa watu wanaosadikiwa ni viongozi kusimamishwa masomo,..ambao hata hivyo kwa ushirikiano na waliobaki walirejeshwa in few days...this is what i will never forget mazee..

Form 2-4 was amazing, observed all the success tena dhidi ya mahasimu Wazumbe..some were our best friends, ila ndo hivyo tena...Discos za Weru weru, Ashira, Kibosho,..magari yakiwa "fresh ya shamba", na mabasi mengine makali..life was sooo good by then bana..
Akaja Mr. Masaki, naye akaondoka..akaja Mr. Kitemango naye akaondoka...Losujaki ole ngavuti aka chief (mzee wa sita), filimbi za Machakura (akiwa zamu), maandazi ya mama chacha,..mapambio na graduations za Ukwata, sherehe za TAMSA, minuso ya TYCS,..kuzamia Arusha Tech,..mitego ya ijumaa na jumamosi (muvi ikiboa toaaaa toaaaa),..nakumbuka pia jinsi harufu ilivyokuwa taamu siku za disco..kuzamia pia hadi discos za umbwe, na kuwanyang'anya mabinti zao..by then special school jina kubwaaaa...mnakumbuka soo la Ashira kuletwa bila kibalii?..watu walikuwaga kama mafia..

Nakumbuka mechi za Enaboishu, Makumira, Ekenywa,..mabinti walikuwa warembo sana wa Makumira, na Enabo,..Nakumbuka fujo iliyosababisha kupoteza maisha ya mtoto mpita njia when Ilborians fought Ekenywa..tulikuwa wanted umenyeni...nakumbuka walipotekwa washkaji umenyeni usiku, na HP kuorganize wadau kwenda na ma-fyekeo kuwakomboa,..vita ya usiku na morani wa kimasai, japo tulichapwa mbaya,..ila that was solidarity..nakumbuka pia Radio Ilboru FM, burudani from our own creativity,..redio ambayo ilitengenezwa from scratch na wanafunzi..nakumbuka pia "bull dance".., kukamua ng'ombe wa shule,..kuhudumia nguruwe,..kuuza maziwa, kuchunga ng'ombe..form one...siku za kuchinja nguruwe was so sad kwa wenzetu waislamu,..ila walikuwa very tolerating...nakumbuka jinsi watu walivyokuwa "wakitoboa ozone-aka kusoma hadi asbh",..ama "kuwasha screen". Namkumbuka "Bwa Shee, Loning'o, mama Tonii na raia wengine waliorahisisha maisha kwa wanafunzi

Form 4 tukakaba tena wazumbe, piga bao la nguvu..wachache tukarejea..F5 tukakutana na akina ZeMarcopolo..(unanikumbuka kistoni??...Shalla B, single, stain, na wengine..tukauteka uongozi wa shule with solidarity), Form 6 maisha room 2 Kilimanjaro,..mechi za madarasa, mabweni, na hata Kilimanjaro bonanza ambayo ilizaliwa wakati tukimsaidia mwenzetu adhabu ya Shembilu,...Room 3 wakashinda zawadi ya saa, room 2 tukaiiba,..ilikuwa fun,...movie ya kimafia..japo nasi tulizidiwa kete na mjanja mwingine...kaka zetu walikuwa akina Msando, MG et al..fun and helpful

Life was superb, japo challengine kutokana na ukosefu wa walimu, ila tulifundishana, tulielekezana, tulisoma pamoja, tulikula pamoja, tulicheza mpira, basket, na hata kuoga chini ya daraja mto tololo..all were fun..mwisho wa siku darasa zima lilifaulu, na kuipiga tena mzumbe bao 2000. PCB wote MUCHS, wachache SUA,..wengine Med School nje ya nchi,..special scholarships,..PCM wote UDSM wacheche nje ya nchi...HGL wote law school..that was the unity..discipline...na ucha mungu..watu walikuwa wanapiga sala bana...

That is my Ilboru I lived for 6 good and memorable years
Niliishi Meru, Hanang, Kibo, Kilimanjaro room 2. Nilitamani sana pia niishi Rungwe, maana lilikuwa bweni safi sana..nilipata bahati ya kukutana na marafiki wazuri ambao hadi sasa they are like my brothers...thanks to the communal life ya Ilboru,..a place i could never regret to live for so long

Ab-teachers, ZeMarcopolo,..asanteni sana kwa memories hizi...lol
Stun
 
(MOSHI TECHNICAL)

SHIKWAMBI -- SHIBA KWA MBINU. - TOP LAYER -- Mafuta ya Mawese juu ya Maharage; hapa viongozi wa jikoni ndiyo waliyaengua
JUNGO'S LAWS - Zililkuwa mbili ( call it Kanuni za msituni)
1. Materials are proportional to the available members only.<o😛></o😛>(Mahindi na Kuni)
2. No Materials No PAFU ( Pafu ni kupewa kitu): ukienda bila mahindi au kuni hupati chochote.

ZERO -- Mabweni ya wasichana
VINGAZI -- maandazi yalifuatwa usiku kule kwa wamama wa wake za wafanyakazi
CHUKUA YOTE - mwanafunzi aliacha usemi baada ya kufumwa kijana akijigawia maeneo karibu na duka la shule
BISI -- Mahindi ya kukaanga
KOBA - Mwalimu wa starehe, alikuwa na mguu mbovu ila mnoko ni mbaya - akapewa hi a.k.a
Mama ndama --- another aka ya mwalimu mmoja alikuwa kajariwa kifuani ni balaa (mtindi)
Mama Fungi ----another aka ya mwalimu wa biology form two.
ZUMA -- another aka ya ticha mmoja wa welding ---- sura kidogo ilikuwa imempita kushoto vijana wakampa hii aka


mnaokumbuka hebu na sisi tushirik
 
(MOSHI TECHNICAL)

SHIKWAMBI -- SHIBA KWA MBINU. - TOP LAYER -- Mafuta ya Mawese juu ya Maharage; hapa viongozi wa jikoni ndiyo waliyaengua
JUNGO'S LAWS - Zililk
uwa mbili ( call it Kanuni za msituni)
1. Materials are proportional to the available members only.<o😛></o😛>(Mahindi na Kuni)
2. No Materials No PAFU ( Pafu ni kupewa kitu): ukienda bila mahindi au kuni hupati chochote.

ZERO -- Mabweni ya wasichana
VINGAZI -- maandazi yalifuatwa usiku kule kwa wamama wa wake za wafanyakazi
CHUKUA YOTE - mwanafunzi aliacha usemi baada ya kufumwa kijana akijigawia maeneo karibu na duka la shule
BISI -- Mahindi ya kukaanga
KOBA - Mwalimu wa starehe, alikuwa na mguu mbovu ila mnoko ni mbaya - akapewa hi a.k.a
Mama ndama --- another aka ya mwalimu mmoja alikuwa kajariwa kifuani ni balaa (mtindi)
Mama Fungi ----another aka ya mwalimu wa biology form two.
ZUMA -- another aka ya ticha mmoja wa welding ---- sura kidogo ilikuwa imempita kushoto vijana wakampa hii aka


mnaokumbuka hebu na sisi tushirik
Mbona unaspam thread yetu? Mambo ya moshi tech kayaanzishie thread yake. Hapa tunaongelea shule ya wanafunzi wenye vipaji maalum na siyo shule ya mafundi.
 
Mbona unaspam thread yetu? Mambo ya moshi tech kayaanzishie thread yake. Hapa tunaongelea shule ya wanafunzi wenye vipaji maalum na siyo shule ya mafundi.
ahahaaa nalog off
 
Back
Top Bottom