Tujikumbushe ILBORU

Tujikumbushe ILBORU

those are grate days!!!mnamkumbuka yasin jumanne??jamaa alikuwa naitwa baba kite jina la mkuu wa shule,yani zilikuwa zinawaka sana na mkuu,halafu kulikuwa na ticha mmoja anaitwa amanda,watu walimpa jina hilo kwa vile alikuwa mrembo,hahahahahahaha mnawakumbuka babu mzee seti na mzee loglog,hahahahaha yani walipewa majina ya hesabu hawa wazee na walikuwa watu muhimu sana,mfanao mzee lohlog alikuwa ndio mzee wa kuzibua system ya uchafu ikizidai....hahahahah mnaosema kuwa tulikuwa tunapewa pepa mnajidanganya,pale ilikuwa ni mwendo wa MSULI tu,yani majitu yalikuwa BUNDI,ile mbaya na watu walikuwa wanapiga wani za kufa mtu.jamani mnamkumbuka yule dada wa dukani alikuwa naitwa anna??hahhahahah yani kila mtu alikuwa anamuwinda."shule yangu iliboru inasifika sana,kujitegemea kwake inasifika sana,kwa nidahmu na majengo inasifika sana,shule yangu nakupenda"wimbo wa shule huo ilikuwa,hahahahahahaha
Kaka Baba Kite ilikua ni kifupisho cha Kitenge na wala haina uhusiano na Kitemango.

Halafu jina la Logilogi lilitokana n mzee kuzibua magogo the english translation ya gogo ni log hapo ndipo jina lilipoibukia.

Hahaha umemkumbuka hadi Anna khaa,kulikua ni kiongozi mmoja anaitwa Jumanne Mrisho "Top Four" jamaa alichemka form six kwa sababu ya mfadhaiko kwa Anna...Kuna siku jamaa alikwibaga dola kadhaa za mshikaji wa form six ili amuhonge Anna.

Bingwa wa kuanzisha wimbo wa skul alikua jamaa mmoja anaitwa Marwa chamber yake.ilikua pale ofisi ya makwanja na majembe
 
Kwa Ilborians! Chifu is no more...alifariki asubuhi!
May his soul rest in Peace
 
Abi Titchaz

Asante sana kwa picha ya Chapel, you have revived good memories in me.

Kuna mtu kamkumbuka Mr. Mushi,Qolloqual, the guy was funny! How I miss him, one of his favourite poems "If we must die...."

Unaongea Mr mushi aliyeenda kujoin agape seminary as headmaster
 
jamaa alikua mtemi balaah!...ingawa ktk somo la historia alikomalia madenti kuandika essay kwa mpangilio,si ajabu paper ya muhula ikawa ni maswali ya essay tu.
 
jamani wapendwa,mwl Losujaki hatunae tena kafariki jumanne ya wiki hii asubuhi.tarehe 20/03/2012.atazikwa jumamosi ya tarehe 24/03/2012 kule kwao Sombetini.RIP LOSUJAKI.
 
Nakumbuka kwa miaka sita yote niliyosoma elimu ya sekondari. Katika matokeo ya advance Mzumbe waliwatesa Ilboru. Na mimi nikiwa A'level moja ilikuwa mzumbe na mbili ilikuwa Mzizima tatu ndio iliboru..
teeeh
 
Losujaki Ole Ngavute!
Watu wengi sana hawafahamu hili jina lake..wanafahamu tu chifu!! Bora wewe unalikumbuka jina lake mkuu!

Kweli kabisa ,mimi nimelijua nilivyochomoka pale. Kumbe na ww ni mmmenye!
 
jamani wapendwa,mwl Losujaki hatunae tena kafariki jumanne ya wiki hii asubuhi.tarehe 20/03/2012.atazikwa jumamosi ya tarehe 24/03/2012 kule kwao Sombetini.RIP LOSUJAKI.

R.I.P Mmenye The First
 
You have reminded me mbali sana.
Na headmaster wakati huo Bino. Duu alikuwa anachapa wakati wa umepata under 50.
 
Duuu kama Rejao ulisoma ILBORU basi na mie najivua gamba kwamba sikusoma ilboru,yani Rejao yani umesoma ilboru wewe? Mmmhh isije ukawa umesoma kantalamba? Anyway badilika mwana,wana wa ilboru hatupo hvyo bwana,sisi ndo waasisi wa Rungwe,kibo hadi Hanangi,chief tulikua tunamuona mwiga tuu,kitemango alikua mchumba tu,shembiru(rip) tulikua tunamchukulia msela tu,room 3,5 na 6 ni nomaaa watu tumepiga point za sebuleni,sasa ilboru naona wanakata viuno tu,ngoma ilikua triangle bweni->Darasani->Dining->Bweni haaaaaa vp ule mto bado upo au umeshakauka? Mwl Akyoo yupo? Naona sasa yupo jembe kwayu.....Kama ulisoma ilboru na haujapata point za sebuleni(3-5 kwa advance) na 7-9 kwa olevo basi jivue gamba

Kweli Rajao hafananii na wamenye kabisa .Ila anaweza akawa ndiye Mwigulu Nchemba aisee-maana naye ni mmenye aliyeasi.Kaamua kuitumia elimu yake/kipaji chake kujinufaisha wakati taifa lilituweka pamoja umenyeni tuje kuikomboa nchhi
 
Naona n wakati wa kujikumbushia tuliko toka! Wazee wa samaki nchanga, ndanda mpo humu! kumbukia sana ulaji wa mbaazi na kuokota maembe maeneo ya liputu, miyoyo, mwena, chikundu n.k. Big up sana shule yetu ndanda kwa nzee nkapa
 
Ndege ya Uchumi, naomba niungane na wote kuwapa pole familia, jamaa na marafiki waliowapoteza ndugu zetu hawa.... On a second note, huyu Mutabuzi ni related na Mama Mutabuzi (RIP) aliyekuwa mwalimu Ilboru??

By the way, KJ Mtui nilipata habari mwaka flani kwamba ametangulia kwenye haki... Sikuweza kuhakiki habari ile lakini kama ndivyo Mwenyenzi Mungu amlaze pema!!!
Kikubwa mimi nakumbuka alipoingia Ilbrou mwanzoni kabisa alileta mapishi mapya ya "SUMU", hili la kwake lilikuwa linachanganywa na maji kisha linaachwa lilale mpaka alfjiri ndipo wapishi walikuwa wanalichemsha, mwanangu si utani lilikuwa linalaza watu klasi kinoma, tulikuwa tunaliita "Fermented Sumu"
Duh! You have really made my day....Fermented sumu ilikuwa noma hata mimi nilikuwa mhanga wa hiyo new invention!
Btw,ni kweli Mzee Mtui alitangulia mbele za haki some years ago...RIP.
Vipi kina Frank Mdimi(FAM) na vibwozo vya kitei???
Where are guys like Mgaywa wa Magafu??
 
ASHIBORU-Ashira+Ilboru Kura zilikuwa zinapigwa kwenda Social Gathering mabasi ynakodishwa kwenda Ashira Sec Moshi!!!!Those all guds days!!
 
Duh! You have really made my day....Fermented sumu ilikuwa noma hata mimi nilikuwa mhanga wa hiyo new invention!
Btw,ni kweli Mzee Mtui alitangulia mbele za haki some years ago...RIP.
Vipi kina Frank Mdimi(FAM) na vibwozo vya kitei???
Where are guys like Mgaywa wa Magafu??

magafu,genius wa 6pcb. Mara ya mwisho nilimsoma akiwa sweden. Jamaa alikuwa na bifu la kudumu na mzulu. dah!
 
Back
Top Bottom