Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Usabato unahusiana vip na post ya mtoa uzi?kumbe msabato AROON
Usabato unahusiana vip na post ya mtoa uzi?kumbe msabato AROON
Tukihoji wanasema ,za Biblia ni za wasabato ,wao wanafata za VatcanHizi ni amri kumi za kwenye biblia au kitabu cha gwajima???
Mbona ipo wazi hizo sio amri zilizo kwenye biblia na mada sio ya dini kabisa.Mnaleta udini ili muanze kunyooshana vidole wakati wote wakristo na biblia ndo kioo chetu.Haya mambo ndo unakuta wote mnatumia biblia ila madhehebu 6000 na nabii tito ndani ya nyumba,mnaponda nabii tito wakati na yeye kaamua kuelewa anavyotaka.Embu mtu aingie playstore a download bible asreenshot amri za Mungu tuweke hapa msitoe hata nukta...Tukihoji wanasema ,za Biblia ni za wasabato ,wao wanafata za Vatcan
Nimeshaziweka hapo juu kitambo, kaja mmoja anauliza mbona zipo nyingi, au za wasabato.na wafaraga,Mbona ipo wazi hizo sio amri zilizo kwenye biblia na mada sio ya dini kabisa.Mnaleta udini ili muanze kunyooshana vidole wakati wote wakristo na biblia ndo kioo chetu.Haya mambo ndo unakuta wote mnatumia biblia ila madhehebu 6000 na nabii tito ndani ya nyumba,mnaponda nabii tito wakati na yeye kaamua kuelewa anavyotaka.Embu mtu aingie playstore a download bible asreenshot amri za Mungu tuweke hapa msitoe hata nukta...
Siyo mbaya uliyesoma ukaweka hapa hata wasio na biblia wapate NenoNimelalamika au nimeweka wazi?
Hebu kasome kutoka 20:1-17 halafu fananisha na hizo za katekisimo za PAPA
Mbona nimeziweka hapaSiyo mbaya uliyesoma ukaweka hapa hata wasio na biblia wapate Neno
Ndiyo tabia zenu magamba kuteka watu na kuanguka11.Usiteke
Maelezo yake ,
Maana kila atekaye husababisha taaruki kwa familia
Kimantik mm naona kitu n kile kile tuWewe unaona hapo nimenukuu kutoka kwa wafaraga au wasabato au BIBLIA?
Mbona unataka kuleta udini,hapo nimenukuu kwenye BIBLIA , pingana na biblia ,amin KATEKISIMO YA PAPAView attachment 901471
Umewashika pabaya! Naona wana mbwela mbwela tuKwanini mkuu ,maana hapa zimetajwa Amri za KATEKISIMO SIO ZA BIBLIA ,kwann isiwe habari nzuri kwa wasabato?
Huon kama jamaa kadanganya kadanhanyika na anaendelea kudanganya maana kamezeshwa hivo toka akiwa mdogo?
Huoni kama Anazidi kupotea na kupoteza watu?
Kweli huoni tofauti kabisa?Kimantik mm naona kitu n kile kile tu
Au niambie amri ambayo ipo katka waroma ambapo haipo katka mwanzo? Au iliekuepo mwanzo na Roma wameitoa
KUTOKA 20:1-17amri kumi za Mungu mbona ni zaidi.? au hizi za kisabato au wafalagha.?
kuna kipindi mzee wangu alimuuliza katekista kuhusu stori ya Nebukadineza kugeuka mnyama,katekista akashangaa maana alikuwa hajui kuwa kuna stori hiyo kwenye BibleNashangaaga sana watu wanasema amri ya 6 ni USIZINI, yaani roma ndio maana BIBLIA INAMUITA MAMA WA MAKAHABA, ambaye amewanyweshwa mataifa mvinyo wa uasherati wake,
Yaani mtu utamkuta ana biblia kubwa jimapili anakaa siti ya mbele, anakwambia AMRI YA 6 USIZINI, hapo ndipo nasemaga ACHA ROMA IITWE ROMA
Aisee ni hatarikuna kipindi mzee wangu alimuuliza katekista kuhusu stori ya Nebukadineza kugeuka mnyama,katekista akashangaa maana alikuwa hajui kuwa kuna stori hiyo kwenye Bible
kiufupi Waroma wengi hawasomi Biblia wanasomewa siku ya ibada hadi siku ya ibada nyingine
nimekuwa mroma kwa 18 najua kila kitu
Kuchonga sanam ambapo katka maana usiabudu miungu wengne (miti, ng'ombe, shetan)Kweli huoni tofauti kabisa?
Unaweza kunionesha Amri inayokataza kuchonga sanamu kwenye hizo alizoleta mtoa uzi au hizo za katekisimu? Umeiona? Tuanzie hapa kwanza
Wewe na wewe acha kutulisha matango pori...waisraeli wa wapi hao unaowazungumzia?Kuchonga sanam ambapo katka maana usiabudu miungu wengne (miti, ng'ombe, shetan)
Lakn unaweza kujiulza sanam za kanisa katorik zinakuaje sasa? Ule n utamadun tu wa watu wa Israel ambapo kuweka sanamu haimaanisha kwamba maombi yanaenda kwa hzo sanam n mapambo tu ya kikanisa zaid