Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

hakuna alichopotosha hapo.kwa mfano unapoambiwa usiue .huu ni msamiati mrefu sana .haimaanishi kuua tu .ata kutoa mimba nikuua pia.kuwaza pia inaesabika
Niomeshe amri inayokataza kuchonga sanamu, na inayosema IKUMBUKE SIKU YA SABATO
 
Niomeshe amri inayokataza kuchonga sanamu, na inayosema IKUMBUKE SIKU YA SABATO
aisee hauko sawa udini unakusumbua. unapoambia usiabudu miunge mingine wewe unaelewa vp.na unapoambiwa uikumbuke siku ya bwana nakuitakasa wewe unaelewa vp Ndugu. na kama ulikuwa hujui sasa nakujulisha Sabato ya kweli ni Yesu kristo .wewe endekeza mabishano ya kidini na kidhehebu uone kama utamjua Mungu kweli
 
aisee hauko sawa udini unakusumbua. unapoambia usiabudu miunge mingine wewe unaelewa vp.na unapoambiwa uikumbuke siku ya bwana nakuitakasa wewe unaelewa vp Ndugu. na kama ulikuwa hujui sasa nakujulisha Sabato ya kweli ni Yesu kristo .wewe endekeza mabishano ya kidini na kidhehebu uone kama utamjua Mungu kweli
Acha bla blaa , Leta maandiko ,

Nimekwambia nioneshe amri ya usichonge sanamu ,

Halafu kwa mtoa mada au amri za katekisimu sijaona IKUMBUKE SIKU YA BWANA,

halafu aliyekwambia Yesu ndio sabato nani, leta andiko hapa,

Mm sitaki bla blaa
 
Ndio mlivyodanganya?

KANISA LA ROMA LIMEJAA UPAGANI, UKISEMA NI MUENDELEZO ,

KWANINI MNAKUJA KUIGAWA AMRI YA 10 ZIWE MBILI?

KWANINI AMRI YA IKUMBUKE SIKU YA SABATO MMEIONDILEA MBALI?

MNAIONA NI KITUO CHA POLISI

KWANINI INAYOSEMA MSICHONGE SANAMU HAMTAKI HATA KUIONA ILI TU MCHONGE NA MJAZE MISANAMU YENU KANISANI

Kwaiyo Nyie Wasabato ndio mnaojua kutafasiri sana biblia...?

Kanisa zima limejaa maboga, 1. AMRI YA KWANZA "USIWE NA MIUNGU MINGINE ILA MIMI, NA HIYO USIJIFANYIE SANAMU YA KUCHONGA (nyie SDA mnaona ni amri inayojitegemea), NI KITU HICHO HICHO... ni muendelezo, kuzidi kufafanua kutoabudu miungu mingine, sasa wasabato mkaona na vitu viwili tofauti...

msipende kupotosha biblia na kifasiri kwa interst zenu
 
Sabato imeanzia EDENI,

Roma imetokea ndani ya ROMA YA KIPAGANI, ulishajiuliza why, kanisani kwenu kumejaa masanamu tu,
SABATO imeanza Edeni ipi?, Muulize yule mwanamke wenu G White, alianzishia sabato wapi?
 
yaani, wewe ni kiazi kuliko viazi vyote duniani!

Kwaiyo Nyie Wasabato ndio mnaojua kutafasiri sana biblia...?

Kanisa zima limejaa maboga, 1. AMRI YA KWANZA "USIWE NA MIUNGU MINGINE ILA MIMI, NA HIYO USIJIFANYIE SANAMU YA KUCHONGA (nyie SDA mnaona ni amri inayojitegemea), NI KITU HICHO HICHO... ni muendelezo, kuzidi kufafanua kutoabudu miungu mingine, sasa kwa akili za kindezi zza wasabato mkaona na vitu viwili tofauti...

Acheni upunguni nyie, msipende kupotosha biblia na kifasiri kwa interst zenu
Kama ni moja ,

Nioneshe Amri inayosema IKUMBUKE SIKU YA SABATO....

NA UNIAMBIE KWANINI AMRI YA KUMI....IMEGAWANYWA MARA MBILI KUFIDIA HIYO YA USICHONGE SANAMU ,ILI ZIWE KUMI?
 
yaani, wewe ni kiazi kuliko viazi vyote duniani!

Kwaiyo Nyie Wasabato ndio mnaojua kutafasiri sana biblia...?

Kanisa zima limejaa maboga, 1. AMRI YA KWANZA "USIWE NA MIUNGU MINGINE ILA MIMI, NA HIYO USIJIFANYIE SANAMU YA KUCHONGA (nyie SDA mnaona ni amri inayojitegemea), NI KITU HICHO HICHO... ni muendelezo, kuzidi kufafanua kutoabudu miungu mingine, sasa kwa akili za kindezi zza wasabato mkaona na vitu viwili tofauti...

Acheni upunguni nyie, msipende kupotosha biblia na kifasiri kwa interst zenu
ACHA KULETA UTETEZ WA KIPUUZI

HUTAKIWI KUPUNGUZA WALA KUONGEZA NENO

WHY AMRI YA KUCHONGA SANAMU HAMUITAKI? ILI MJAZE MASANAMU KANISANI?

WHY AMRI ISEMAYO IKUMBUKE SIKU YA SABATO mmeichakachua?

MBINGU ZITAPITA ILA MANENO HAYA HAYATAPITA KAMWE...........

“Msidhani [wengi mno leo wanadhani] ya kuwa nalikuja kuitangua torati [Sheria] au manabii;” akasema, “sikuja kutangua [kuifutilia mbali], bali kutimiliza [kuitekeleza]. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka [bado zipo], yodi moja [,] wala nukta moja [.] HAITAONDOKA hata yote yatimie [yaani, mpaka hapo mbingu na nchi
zitakapoondoka]. Basi [kwa hiyo] mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo [Yak.2:10-12], na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa [mnyonge hataingia – Ufu.21:27] katika ufalme wa mbinguni; bali mtu ATAKAYEZITENDA [Amri Kumi] NA KUZIFUNDISHA, huyo ataitwa mkubwa [mtawala/mfalme – Ufu.20:4; Dan. 7:27] katika ufalme wa mbinguni.” Mathayo 5:17-19.
FB_IMG_1540529857229.jpeg
 
Kama ni moja ,

Nioneshe Amri inayosema IKUMBUKE SIKU YA SABATO....

NA UNIAMBIE KWANINI AMRI YA KUMI....IMEGAWANYWA MARA MBILI KUFIDIA HIYO YA USICHONGE SANAMU ,ILI ZIWE KUMI?
KWANNI unalazimisha kuwa kuikumbuka sabato ni kati ya Amri kumi?t tatizo hujui biblia, umekaririshwa na wewe unakuja kuleta hoja za kanisani kwako hapa, bila kufanya utafiti kujiridhisha na ulichofundishwa.

kwa kifupi, wasabato ni mpo against na ukristo... period
 
KWANNI unalazimisha kuwa kuikumbuka sabato ni kati ya Amri kumi?t tatizo hujui biblia, umekaririshwa na wewe unakuja kuleta hoja za kanisani kwako hapa, bila kufanya utafiti kujiridhisha na ulichofundishwa.

kwa kifupi, wasabato ni mpo against na ukristo... period
Kwahiyo sio au?

Kweli mmepotezwa,

Mimi sijakulazimisha

SOMA KUTOKA 20:8-11

HALAFU RUDI KWENYE KATEKISIMU,

UKIIKUTA ,NJOO NAKUPA ZAWADI
images-19.jpeg
 
we

we jamaa ni BOYA SANA, ... kwanza sina time ya kubishana na BOYA kama wewe
Sawa ila mimi nakuombea msamaha

JAPO NABII ISAYA ANACHUKIZWA NA MASANAMU YENU, NA ANASEMA MUNGU ASIWASAMEHE

BUDHISIM+CATHOLISM=PAGANISM

Isaya 2

8 Tena nchi yao imejaa sanamu; huabudu
kazi ya mikono yao, vitu vilivyofanywa kwa
vidole vyao wenyewe.

9 Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa
hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe.

10 Ingia ndani ya jabali; ukajifiche
mavumbini mbele za utisho wa Bwana,
mbele za utukufu wa enzi yake.

11 Macho ya mwanadamu yaliyoinuka
yatashushwa chini, na kiburi cha
mwanadamu kitainamishwa, naye Bwana,
yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.
 
Acha bla blaa , Leta maandiko ,

Nimekwambia nioneshe amri ya usichonge sanamu ,

Halafu kwa mtoa mada au amri za katekisimu sijaona IKUMBUKE SIKU YA BWANA,

halafu aliyekwambia Yesu ndio sabato nani, leta andiko hapa,

Mm sitaki bla blaa
Naona vifungu vya BibLIA Ulivyomeza vimekwisha Yesu ni Bwana wa Sabato Matayo 12:1-13
 
Ninapata ukakasi sana kuelewa kwanini hasa Mungu kwa nyakati tofauti alikuwa anatoa onyo kwa wanaume kutamani "Wake za watu" lkn leo tunashuhudia kabisa hata kabla hujaanza kumsemsha yeye ndo anakuwa wa kwanza kukutamani,,,,hii kitu imekaaje wakuu!
Nilidhani ni bora sana kama ingewekwa wazi kwamba mwanamke pia asimtamani Mme wa mww zake!
 
Kwahiyo sio au?

Kweli mmepotezwa,

Mimi sijakulazimisha

SOMA KUTOKA 20:8-11

HALAFU RUDI KWENYE KATEKISIMU,

UKIIKUTA ,NJOO NAKUPA ZAWADIView attachment 911331
Angalia ulivyokuwa msenge .. Kwaiyo umeona kanisa katoliki tu kusali jumapili ni tatizo kwako....

kwanini uangalia makanisa mengine yanayosali jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi na ijumaa au jumamosi, unakimbilia kanisa katoliki tu kusali j2..

mind your business, achana na makanisa ya wengine
 
Angalia ulivyokuwa msenge .. Kwaiyo umeona kanisa katoliki tu kusali jumapili ni tatizo kwako....

kwanini uangalia makanisa mengine yanayosali jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi na ijumaa au jumamosi, unakimbilia kanisa katoliki tu kusali j2..

acha ufala wewe, mind your business, achana na makanisa ya wengine
alichokuwa anakitaka umempa. jamaa amekalia kukashfu madhehebu ya wengine badala yakujifunza kumjua Mungu anaemuamini.kelele kwenye katekisimy utafikiri dhehebu lao halina vitabu vingine zaidi ya biblia.
 
Angalia ulivyokuwa msenge .. Kwaiyo umeona kanisa katoliki tu kusali jumapili ni tatizo kwako....

kwanini uangalia makanisa mengine yanayosali jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi na ijumaa au jumamosi, unakimbilia kanisa katoliki tu kusali j2..

acha ufala wewe, mind your business, achana na makanisa ya wengine
Isaya 2

8 Tena nchi yao imejaa sanamu; huabudu
kazi ya mikono yao, vitu vilivyofanywa kwa
vidole vyao wenyewe.

9 Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa
hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe
 
Angalia ulivyokuwa msenge .. Kwaiyo umeona kanisa katoliki tu kusali jumapili ni tatizo kwako....

kwanini uangalia makanisa mengine yanayosali jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi na ijumaa au jumamosi, unakimbilia kanisa katoliki tu kusali j2..

acha ufala wewe, mind your business, achana na makanisa ya wengine
LAANA YA KUVUNJA AMRI YA SABATO ULIMWEGUNI

"Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana BWANA amenena neno hilo. Dunia inaomboleza inazimia; ulimwengu unadhohofika unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika. Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa, kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele". ISAYA 24:3-5.
Mambo 3 yamezungumziwa ktk msitari wa 5 ambayo ndiyo sababu ya dunia hii kuwa ktk hali hii mbaya:
1. KUZIASI SHERIA - Hii inamaanisha ni kutenda kinyume na sheria za Mungu zinavyosema 'KUTOKA 20:3-17.
2. KUIBADILI AMRI - Hii inamaanisha kuna amri moja iliyobadilishwa maana inazungumzia uchache. Na ukiangalia leo amri ya 4 ndiyo iliyobadilishwa 'KUTOKA 20:8-11, hata Daniel naye alitabiri kuhusiana na jambo hili "DANIEL 7:25".
3. KUVUNJA AGANO LA MILELE - Agano hili la milele lilivunjwa ni Sabato ya Bwana 'KUTOKA 31:16
FB_IMG_1540529670203.jpeg
 
YESU NI BWANA WA SABATO

LETA ANDIKO YESU NI SABATO,

MBONA MNAPENDA KUCHAKACHUKUA KILA KITU
Ndio maana nakwambia unameza vitu bila kuelewa,Kuwa Bwana wa Sabato ni kuwa mkuu wa Sabato, maana yake anaouwezo wa kufanya chochote juu ya Sabato na kila kilichopo kwenye Sabato kipo chini yake,AMKA AROON jifunze maandiko na sio Ubishi wa kidini
 
Back
Top Bottom