samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Mimi nakumbuka mama mwenye nyumba alitoa amri ya wanaume wote wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa kama wanawake,alichokuwaakifanya ukitoka chooni tu anakwenda kuangalia je? Umedosha japo tone la mkojo inje?.adhabu yake notes.je ww umewahi kutana na adha gani?