Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tatizo la lugha linaendana na uwezo wa kiuchumi na ukubwa wa idadi ya watu wanaozungumza lugha husika.
Tanzania tumeanza kupigania lugha ya Kiswahili itambulike Duniani lakini tunapaswa kujiuliza tatizo ni lugha au tatizo ni kukuza uchumi?
China wapo wengi lakini maamuzi na mikataba au sheria zao zinatumia lugha za kimataifa kikiwemo kiingereza hivyo pamoja na wingi wao lugha yao haipo sokoni bali wanatumia lugha ya kiingerza na lugha nyingine kupenya sokoni. Hakuna sehemu wanahubiri watu waongee kichina ila wewe kwa mahitaji uliyonayo utalazimika kujifunza.
Sisi tupo chini sana Tena watu wengi vijiji Kiswahili kinawapiga chenga, badala tutafute kukua kupenya kwenye soko la kiingereza tupanue wigo wa ajira nje ya mipaka tunaanza kujikita kwenye Kiswahili ,huko sokoni wanahitaji lugha ya Kiswahili? Ni tunadhani tunakwama kwa sababu ya lugha ya Kiswahili?
Kiswahili kitakuwa si kwa kukiwekea mkakati bali ni kwakupanua waongea Kiswahili wawepo maeneo tofauti Duniani na njia yakuwafanya wawepo maeneo mengi nikuwahimiza wajue lugha za Dunia ili wasambae na tukitembea kila Kona Duniani tuwe tuna ndugu anayeongea Kiswahili.
Tupanue uelewa wa lugha zakigeni kwa sababu Kiswahili cha kuongea tayari tunacho
Tanzania tumeanza kupigania lugha ya Kiswahili itambulike Duniani lakini tunapaswa kujiuliza tatizo ni lugha au tatizo ni kukuza uchumi?
China wapo wengi lakini maamuzi na mikataba au sheria zao zinatumia lugha za kimataifa kikiwemo kiingereza hivyo pamoja na wingi wao lugha yao haipo sokoni bali wanatumia lugha ya kiingerza na lugha nyingine kupenya sokoni. Hakuna sehemu wanahubiri watu waongee kichina ila wewe kwa mahitaji uliyonayo utalazimika kujifunza.
Sisi tupo chini sana Tena watu wengi vijiji Kiswahili kinawapiga chenga, badala tutafute kukua kupenya kwenye soko la kiingereza tupanue wigo wa ajira nje ya mipaka tunaanza kujikita kwenye Kiswahili ,huko sokoni wanahitaji lugha ya Kiswahili? Ni tunadhani tunakwama kwa sababu ya lugha ya Kiswahili?
Kiswahili kitakuwa si kwa kukiwekea mkakati bali ni kwakupanua waongea Kiswahili wawepo maeneo tofauti Duniani na njia yakuwafanya wawepo maeneo mengi nikuwahimiza wajue lugha za Dunia ili wasambae na tukitembea kila Kona Duniani tuwe tuna ndugu anayeongea Kiswahili.
Tupanue uelewa wa lugha zakigeni kwa sababu Kiswahili cha kuongea tayari tunacho