Tujifunze photography na retouching

Natakakujua jinsi gani ya kumfanyakitu au mtu mmoja aonekane zaidi kwenye kundi la watu au vitu vingi wakati wengine wakionekana ka wamefifia.
 
Natakakujua jinsi gani ya kumfanyakitu au mtu mmoja aonekane zaidi kwenye kundi la watu au vitu vingi wakati wengine wakionekana ka wamefifia.

Aperture au fstop ndio inaaffect hicho kitu unachokitaka ambapo subject inakuwa kwenye focus na background inakuwa out of focus. Prime lenses ni nzuri sana kwenye kublur background kwasababu aperture yake inauwezo wa kushuka hadi f/1.2 baadhi ya lens ila gharama yake ni kubwa sana aperture ikiwa kubwa hivi basi inaruhusu mwanga mwingi zaidi na kukupa bokeh na sharpness kwenye picha yako.
 
Aperture au fstop ndio inaaffect hicho kitu unachokitaka ambapo subject inakuwa kwenye focus na background inakuwa out of focus. Prime lenses ni nzuri sana kwenye kublur background kwasababu aperture yake inauwezo wa kushuka hadi f/1.2 baadhi ya lens ila gharama yake ni kubwa sana aperture ikiwa kubwa hivi basi inaruhusu mwanga mwingi zaidi na kukupa bokeh na sharpness kwenye picha yako.
Asante mkuu, app gani inaweza fanya ivo kwenye simu? au simu ya aina gani inakuja na uwezo huo?
 
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
safiiii mkuuu
 
Adobeshop inauwezo wa kuedit picture kama kutoa chunusi na kadhalika hebu mkuu tuma hats picture ya tool kwenye menu nione demo, napenda sana hii kitu na ni ndoto yangu kuwa na office ya hii. Safi mleta Uzi nakupa five star
Let dream come true
 
Camera yoyote unaweza ukaanzia inategemea na bajeti yako. Ila vya kuzingatia ni hio camera ina uwezo wa kupiga RAW format na uwezo wa lenses kwasababu mfano lens ambayo ni prime(haizoom in wala out) inakupa picha ambayo ni very sharp ukilinganisha na zoom lens.
thankyuu
 
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
kwa mujibu wa hiyo picha yako nmeona umfake nywele hadi zmeonekana si halisi pia katika retouch ni muhinu sana kumaintain skin texture lakin ww umefuta hyo alama ya ndui begani, so kwa ulichokifanya haifai kuweka before and after kwa sabab ya hzo tofauti za wazi zinazonekana,
though nmependa dodge and burn yako,Bravoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumia Adobe photoshop( version yoyote inafaa cha msingi kujua matumizi yake), Adobe Lightroom( hii natumia kwaajili ya RAW conversion, color grading na kama naedit picha nyingi kama za wedding nk na pia Capture One( hii kazi yake haina tofauti sana lightroom ila kwa mimi binafsi naona hii inatoa matokeo mazuri kuliko lightroom

Mimi Nina Adobe Photoshop cs2 Ila Ni ngumu Sana .nimejifunza kwa YouTube tuitorials Lakini wapi.Nina usongo na background eraser .nimeanza kujua Ila Bado Sana.
 
Adobeshop inauwezo wa kuedit picture kama kutoa chunusi na kadhalika hebu mkuu tuma hats picture ya tool kwenye menu nione demo, napenda sana hii kitu na ni ndoto yangu kuwa na office ya hii. Safi mleta Uzi nakupa five star
Mkuu unapatikana wapi?, ningependa kujua kama una studio au unafanya training. Nafanya photography ila sipo deep sana though sio beginner.

kama uko interested na hizi mambo unaweza kucheki youtube channel ya Richstar huyu jamaa yupo vizuri anafundisha kwa kiswahili binafsi kanifundisha mambo mengi sana kwenye maswala ya graphics designing,video editing ,kuedit picha kwa kutumia adobe photoshop n.k
 
Back
Top Bottom