Tujifunze photography na retouching

Kram Billz

Member
Dec 1, 2012
75
59
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
 
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
Unatumia program gan gani mkuu kwaajili ya retouching?
Mi nimeanza kujifunza photoshop kidogo kidogo siku hizi!
 
mkuu ungeanza kutuambia reouch ni nini ,ili na sisi tusiokuwa kwenye tasnia hiyo tuelewe
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
 
Habari zenu wakuu,


Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg

umefik pazuri, ila kwa ajili ya ukaribu sana. why tusitengeneze ka comunity hta group tuwepe kuwa karib zaid Generate group then wek link mkuu
 
Unatumia program gan gani mkuu kwaajili ya retouching?
Mi nimeanza kujifunza photoshop kidogo kidogo siku hizi!

Natumia Adobe photoshop( version yoyote inafaa cha msingi kujua matumizi yake), Adobe Lightroom( hii natumia kwaajili ya RAW conversion, color grading na kama naedit picha nyingi kama za wedding nk na pia Capture One( hii kazi yake haina tofauti sana lightroom ila kwa mimi binafsi naona hii inatoa matokeo mazuri kuliko lightroom
 
mkuu ungeanza kutuambia reouch ni nini ,ili na sisi tusiokuwa kwenye tasnia hiyo tuelewe

Retouching haina tofauti sana na maana ya kuedit au kurekebisha picha yako. Mfano, unaweza ukakuta sura ya mtu inachunusi na vipere kwahiyo katika retouching unaweza ukaviondoa vyote hivyo vilevile unaweza ukawaumepiga picha haina mwanga wa kutosha unaweza ukaongeza baadae kwenye retouching. Huu ni mfano tu ila kuna mambo mengi ndani yake cha msingi kujua ni kwamba unaweza ukafanyia chochote picha yako kupitia retouching.
 
umefik pazuri, ila kwa ajili ya ukaribu sana. why tusitengeneze ka comunity hta group tuwepe kuwa karib zaid Generate group then wek link mkuu

Ni wazo zuri sana ila kwa uzoefu wangu katika magroup mengi kunakuwa na masiala na watu hawapo serious so mwisho wa siku huwa linakufa na nisingependa itokee hivyo.
 
Ni wazo zuri sana ila kwa uzoefu wangu katika magroup mengi kunakuwa na masiala na watu hawapo serious so mwisho wa siku huwa linakufa na nisingependa itokee hivyo.
ni u serius tu, lets creat our comunity broooo
 
Habari zenu wakuu,

Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu ili kufanya picha yako iwe na muonekano na ubora mzuri utahitaji kuiretouch hiyo picha na pia huwezi kuretouch picha ambayo imepigwa chini ya ubora. Mimi binafsi ni photographer na retoucher ila katika tasnia hii inanibidi nijifunze kila siku ili niweze kuongeza ujuzi zaidi kiufupi hakuna mwisho wa kujifunza.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa nafasi kwa yeyote mwenye swali kuhusu mada hii aulize bila wasiwasi na kwa pamoja tunaweza kusaidiana. Na nitakuwa najaribu kutuma some tips and tricks ambazo zinaweza kutusaidia katika tasnia hii. Karibuni

Hii ni sample kati ya moja ya kazi zangu ambazo nimefanya ikiwa ni kabla na baada ya kuifanyia retouching

91caf9784b6045126851c7e5aa42ff64.jpg
Naomba kuuliza camera gani naweza kuanzia , pia printer ya aina gani ni nzuri
kwa sasa nimeanza kujifunza matumizi ya Adobephoto shop.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 
Adobeshop inauwezo wa kuedit picture kama kutoa chunusi na kadhalika hebu mkuu tuma hats picture ya tool kwenye menu nione demo, napenda sana hii kitu na ni ndoto yangu kuwa na office ya hii. Safi mleta Uzi nakupa five star
 
Naomba kuuliza camera gani naweza kuanzia , pia printer ya aina gani ni nzuri
kwa sasa nimeanza kujifunza matumizi ya Adobephoto shop.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app

Camera yoyote unaweza ukaanzia inategemea na bajeti yako. Ila vya kuzingatia ni hio camera ina uwezo wa kupiga RAW format na uwezo wa lenses kwasababu mfano lens ambayo ni prime(haizoom in wala out) inakupa picha ambayo ni very sharp ukilinganisha na zoom lens.
 
Adobeshop inauwezo wa kuedit picture kama kutoa chunusi na kadhalika hebu mkuu tuma hats picture ya tool kwenye menu nione demo, napenda sana hii kitu na ni ndoto yangu kuwa na office ya hii. Safi mleta Uzi nakupa five star

Sijakuelewa mkuu, picha ya tools kivipi?
 
ni u serius tu, lets creat our comunity broooo

Mimi na wewe tunaweza kuwa serious je na hao wengine inakuwaje? Labda tufanye hivi, tengeneza group then nitakupa namba zangu utaniadd ila nikiona hapaeleweki basi nitakuwa huru kujitoa.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom