Tujifunze pamoja na tuelimishane kuhusu program ya Excel

Tujifunze pamoja na tuelimishane kuhusu program ya Excel

Ulichoshindwa ni kipi? Ulitaka uifanyie kazi gani?
Subiri, niko mbali na PC nitakupatia jina la YouTube video ambapo utakutana na mtaalamu wa kuitumia VLookup, na natumaini utajifunza vitu adimu ambavyo vitakusaidia katika kazi zako.
Kwa mfano nina majina 100 ya wafanyakazi wa kampuni inaitwa Yamaha co. LMT kwenye sheet 1

na

Kwenye sheet 2 Ina majina 1225 ya kampuni/branch 6(Yamaha co LMT ikiwemo).

kwenye hayo majina 1225 wamo wale wafanyakazi 100 wa kampuni ya Yamaha co LMT.

Nataka sheet ya 2 niwachuje wale mia niwawekee alama (ninge filter) tatizo wamechanganyika kwenye sheet 2 ila sheet 1 ina majina mia wa kampuni hiyo

Nataka wale 100 wa 'Yamaha' nifanye vlookup iwawekee alama au wajitenge nipate 1125 wabaki peke yao.

Sijui kama nimejieleza vzr.
 
Kwa mfano nina majina 100 ya wafanyakazi wa kampuni inaitwa Yamaha co. LMT kwenye sheet 1

na

Kwenye sheet 2 Ina majina 1225 ya kampuni/branch 6(Yamaha co LMT ikiwemo).

kwenye hayo majina 1225 wamo wale wafanyakazi 100 wa kampuni ya Yamaha co LMT.

Nataka sheet ya 2 niwachuje wale mia niwawekee alama (ninge filter) tatizo wamechanganyika kwenye sheet 2 ila sheet 1 ina majina mia wa kampuni hiyo

Nataka wale 100 wa 'Yamaha' nifanye vlookup iwawekee alama au wajitenge nipate 1125 wabaki peke yao.

Sijui kama nimejieleza vzr.
Umetumia category gani kuwatambua kwamba huyu ni wa huku na huyu ni wa kule?
 
Excel ni practice tuu.. kama unatumia computer ×1 kwa wiki au mwezi sahau kujua hayo maujanja... Mimi sijawah somea ila nimejifunza kazini tu ila hadi sasa kuna watu walisomea ila nawapiga knockout wanashangaa
 
Kwa mfano nina majina 100 ya wafanyakazi wa kampuni inaitwa Yamaha co. LMT kwenye sheet 1

na

Kwenye sheet 2 Ina majina 1225 ya kampuni/branch 6(Yamaha co LMT ikiwemo).

kwenye hayo majina 1225 wamo wale wafanyakazi 100 wa kampuni ya Yamaha co LMT.

Nataka sheet ya 2 niwachuje wale mia niwawekee alama (ninge filter) tatizo wamechanganyika kwenye sheet 2 ila sheet 1 ina majina mia wa kampuni hiyo

Nataka wale 100 wa 'Yamaha' nifanye vlookup iwawekee alama au wajitenge nipate 1125 wabaki peke yao.

Sijui kama nimejieleza vzr.

Nimekusoma, ila filter naona kama itakusaidia hapo. Filter inafanya kazi kama ilivyo slice ya kwenye table, ila Lazima watofautishwe Kwa identity yoyote kati ya wale wa kwenye sheet 1 na wale wa sheet 2.
Na unataka uwawekee alama gani?
 
Nina orodha yao pembeni wale 100
Hapo bado hujanielewa, kwenye hiyo list ya majina mengi,kuna category yoyote ambayo inakujulisha kwamba huyu ni wa huku (sheet nyingine)?
Kama ipo hiyo category, select table yako yote then kwenye Data tab click Filter. Ukishaclick utaona kila column kwa juu kuna kimshale, nenda ukaclick kimshale cha column uliyotumia kama category ya kuzitofautisha hizo data, hapo utaona kibox utaenda kuweka tick kwenye category unayoitaka na kutoa tick kwenye category usiyoitaka. Baada ya hapo utacopy data zako na kwenda kuzipaste somewhere
 
Kwa mfano nina majina 100 ya wafanyakazi wa kampuni inaitwa Yamaha co. LMT kwenye sheet 1

na

Kwenye sheet 2 Ina majina 1225 ya kampuni/branch 6(Yamaha co LMT ikiwemo).

kwenye hayo majina 1225 wamo wale wafanyakazi 100 wa kampuni ya Yamaha co LMT.

Nataka sheet ya 2 niwachuje wale mia niwawekee alama (ninge filter) tatizo wamechanganyika kwenye sheet 2 ila sheet 1 ina majina mia wa kampuni hiyo

Nataka wale 100 wa 'Yamaha' nifanye vlookup iwawekee alama au wajitenge nipate 1125 wabaki peke yao.

Sijui kama nimejieleza vzr.
Habari yako mkuu. Excel ni tamu sana ukiielewa na hasa ukapata scenario kama hii yako inakusaidia kujua vitu vingi.

Vlookup function ni rahisi kama ukielekezwa na ukapata mifano kama hii ya kufanyia kazi.
Hii function inahitaji vitu vichache tu iweze kufanya kazi
1. kitu unachotafuta (iwe ni jina, namba, nk)
2. Mahali unakoenda kukitafuta (inaweza kua list yenye column 1 au zaidi)
3. Return value ( yaani excel ikuletee nini ikiwa kile unachotafuta kimepatikana)
4. Searching modality( hii ni optional parameter, inahitaji true (1) au false (0) value ili nisikuchanganye kwa mfano wako utatumia 0 value)

njia rahisi kukalili muundo (syntax) ya hii function ni hii =vlookup(unachotafuta, unakokitafuta, return value, searching modality)

Naamini utakua umepata mwanga kidogo wa vlookup
 
Excel ni practice tuu.. kama unatumia computer ×1 kwa wiki au mwezi sahau kujua hayo maujanja... Mimi sijawah somea ila nimejifunza kazini tu ila hadi sasa kuna watu walisomea ila nawapiga knockout wanashangaa
kusomea wanafundisha sum, average, if, na and na kufill 😂 lazima uwatoe knockout
 
Fafanua kidogo
Mfano una wanafunzi 50 and umebanana hujawafanyia assesment ila unahitaji wote wapate marks bila upendeleo. Then utaandika hiyo formula itakutengenezea marks kutoka kwenye range ya 70 hadi 95 then utacopy formula kwenye cells zingine na baada ya hapo ili kuondoa formula zibakie namba utahighlight then copy marks zote na utapaste value pekee bila ffunction
 
Mkuu nataka kujua mfano B1-B30 ni jinsi za watumishi kuna ME & KE sasa nataka formula ya kujua jinsi ya Me wangapi na KE wangap
nakupa mifano miwili mkuu
=COUNTIFS(B6:B30,">=121",D6😀30,"ME")
=COUNTIFS(B6:B30,"'A'",D6😀30,"KE")

formula ya kwanza endapo seli kuanzia b6 had b30 kapata juu ya 121 lakini pia hapohapo jinsia yake kwenye seli D6 hadi seli D30 imesomeka ME mtu huyo haesabiwe

formula ya pili endapo seli B6 hadi B30 kapata 'A' lakini pia aliyepata mwenyewe kwenye seli ya D6 hadi D30 pamesomeka KE mtu huyo ahesabiwe
 
Hizi zama za AI sio za kuumiza kichwa. Wewe ingia chatgpt4 weka inputs zako, ipe command/maelekezo unataka nini iwe ratiba ya shule nzima, iwe orodha ya wafanyakazi na familia zao na wanaolipwa hela fulani; chochote kile. Inarun na kukupa excell sheet within seconds.
 
Hizi zama za AI sio za kuumiza kichwa. Wewe ingia chatgpt4 weka inputs zako, ipe command/maelekezo unataka nini iwe ratiba ya shule nzima, iwe orodha ya wafanyakazi na familia zao na wanaolipwa hela fulani; chochote kile. Inarun na kukupa excell sheet within seconds.
Hii program haina ladha kabisa.
 
Select data zako, nenda kwenye Insert, then kwenye chart group chagua bar chart unayoitaka
we kweli excel legend yani licha ya kujua hicho kitu pia kuelekeza waelekeza vizuri hadi asiyejua anaelewa big up mkuu
 
Nina Cell A2 ina jina la mtoto na Cell B2 ina marks nataka cell C2 iwe na maneno yasomeke hivi mzaz wa mtoto jina lichukue A2 amepata alama ya marks itoke B2 nipen formula hapo
 
Back
Top Bottom