Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 426
- 746
="Mzazi wa mtoto "&A2&" amepata alama "&B2Nina Cell A2 ina jina la mtoto na Cell B2 ina marks nataka cell C2 iwe na maneno yasomeke hivi mzaz wa mtoto jina lichukue A2 amepata alama ya marks itoke B2 nipen formula hapo