Tujifunze pamoja na tuelimishane kuhusu program ya Excel

Tujifunze pamoja na tuelimishane kuhusu program ya Excel

Namna gani nijue wangapi wameingia kazini kwenye attendance sheet kwa asilimia
=COUNTIF(B2:B300,"A")/COUNTA(A2:A300)

Where "A" is a notation for presence, Column A ni column ya majina, na column B ni column unayojaza uwepo wa hao watu eg H or A or --
Utaiset cell yako yenye hiyo formular iwe ktk format ya %
 
Mkuu Njuka II, nikitaka kurank marks za wanafunzi kwa kutumia vigezo vitatu kwa pamoja yaani division point, wastani na marks za somo moja ili kuweza kupata wanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho nitumie mbinu gani?
(Ranking which involves breaking more than two ties or ranking with three criteria for ranking).
Msaada tafadhali.
Formula ninayotumia mimi ni hii hapa chini ambayo inatumia criteria mbili tu. Nataka niongeze ya tatu. Je nifanyeje?
=IFERROR(RANK.EQ($R17,$R$17:$R$10000,1)+COUNTIFS($R$17:$R$10000,$R17,$T$17:$T$10000,">"&$T17),"").
Range ya R ni point za division na range ya T ni wastani.
 
Mkuu Njuka II, nikitaka kurank marks za wanafunzi kwa kutumia vigezo vitatu kwa pamoja yaani division point, wastani na marks za somo moja ili kuweza kupata wanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho nitumie mbinu gani?
(Ranking which involves breaking more than two ties or ranking with three criteria for ranking).
Msaada tafadhali.
Formula ninayotumia mimi ni hii hapa chini ambayo inatumia criteria mbili tu. Nataka niongeze ya tatu. Je nifanyeje?
=IFERROR(RANK.EQ($R17,$R$17:$R$10000,1)+COUNTIFS($R$17:$R$10000,$R17,$T$17:$T$10000,">"&$T17),"").
Range ya R ni point za division na range ya T ni wastani.
Lengo la kutumia vigezo vitatu ni nini ndg? Hapo njia nzuri ungetumia wastani kama unataka haki na usawa lakini changamoto yake ni moja, unaweza ukashangaa mwanafunzi mwenye Division I ya 11 akawa anaongoza wakati kuna mwenye Division I ya 10.

Lakini unaweza ukatumia point za division kama ranking values kwa kuongeza some value ili watakapogongana kila mmoja awe na rank value ya kipekee mfano kwenye formula ya kucalculate point za division unaweza ukaongeza + SN/1000 ambapo SN ni serial number ya mwanafunzi, lengo ni kutengeneza decimal point in case kama wanafunzi zaidi ya mmoja wamepata same divsion point

Mfano kama mwanafunzi wa SN 1 na 2 wamepata division I ya 7, wa kwanza atakuwa na 7.001 na huyo wa pili atakuwa na 7.002

Kama wanafunzi ni wengi sana weka SN/10000 au hata SN/100000 ili isije ikamuongezea mtu point mfano kama wanafunzi wapo 1000 na ukatumia SN/1000, huyu mwanafunzi wa mwisho atadhulumiwa point moja nzima na kumfanya apitwe na wenzake ambapo hakutakuwa na usawa

7+SN/1000 where SN=1000 (last student)
7+1000/1000
7+1=8
Hapa atapitwa na wanafunzi wote waliopata Division I ya 7
 
Lengo la kutumia vigezo vitatu ni nini ndg? Hapo njia nzuri ungetumia wastani kama unataka haki na usawa lakini changamoto yake ni moja, unaweza ukashangaa mwanafunzi mwenye Division I ya 11 akawa anaongoza wakati kuna mwenye Division I ya 10.

Lakini unaweza ukatumia point za division kama ranking values kwa kuongeza some value ili watakapogongana kila mmoja awe na rank value ya kipekee mfano kwenye formula ya kucalculate point za division unaweza ukaongeza + SN/1000 ambapo SN ni serial number ya mwanafunzi, lengo ni kutengeneza decimal point in case kama wanafunzi zaidi ya mmoja wamepata same divsion point

Mfano kama mwanafunzi wa SN 1 na 2 wamepata division I ya 7, wa kwanza atakuwa na 7.001 na huyo wa pili atakuwa na 7.002

Kama wanafunzi ni wengi sana weka SN/10000 au hata SN/100000 ili isije ikamuongezea mtu point mfano kama wanafunzi wapo 1000 na ukatumia SN/1000, huyu mwanafunzi wa mwisho atadhulumiwa point moja nzima na kumfanya apitwe na wenzake ambapo hakutakuwa na usawa

7+SN/1000 where SN=1000 (last student)
7+1000/1000
7+1=8
Hapa atapitwa na wanafunzi wote waliopata Division I ya 7
Nimekupata ndugu. Ngoja nifanyie kazi. Nitaleta mrejesho.
 
Lengo la kutumia vigezo vitatu ni nini ndg? Hapo njia nzuri ungetumia wastani kama unataka haki na usawa lakini changamoto yake ni moja, unaweza ukashangaa mwanafunzi mwenye Division I ya 11 akawa anaongoza wakati kuna mwenye Division I ya 10.

Lakini unaweza ukatumia point za division kama ranking values kwa kuongeza some value ili watakapogongana kila mmoja awe na rank value ya kipekee mfano kwenye formula ya kucalculate point za division unaweza ukaongeza + SN/1000 ambapo SN ni serial number ya mwanafunzi, lengo ni kutengeneza decimal point in case kama wanafunzi zaidi ya mmoja wamepata same divsion point

Mfano kama mwanafunzi wa SN 1 na 2 wamepata division I ya 7, wa kwanza atakuwa na 7.001 na huyo wa pili atakuwa na 7.002

Kama wanafunzi ni wengi sana weka SN/10000 au hata SN/100000 ili isije ikamuongezea mtu point mfano kama wanafunzi wapo 1000 na ukatumia SN/1000, huyu mwanafunzi wa mwisho atadhulumiwa point moja nzima na kumfanya apitwe na wenzake ambapo hakutakuwa na usawa

7+SN/1000 where SN=1000 (last student)
7+1000/1000
7+1=8
Hapa atapitwa na wanafunzi wote waliopata Division I ya 7
Perfect. Imefanya kazi kiongozi.
Pokea maua yako Njuka II
 
Kazini kwangu (shuleni) kumekuwa na lawama sana kwamba ratiba ya kusimamia mitihani haina usawa,, kuna wengine wanatokea mara nyingi zaidi ya wengine.

Nikapata wazo kuwa niandae list ya walimu wote na madarasa yote yanayotakiwa kusimamiwa alafu niicommand EXCEL iyafeed majina haya yajipange kwenye vyumba vya mitihani kwa usawa na hata yakizidiana kutokea basi iwe kwauchache.

Naja kwenu ndugu zangu,,
Je ni function zipi zitanisaidia kazi hii ya kupanga majina ili angalau walimu watokee kwa idadi sawa (hata kama 100%) katika ratiba hio?

Njuka II
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Kazini kwangu (shuleni) kumekuwa na lawama sana kwamba ratiba ya kusimamia mitihani haina usawa,, kuna wengine wanatokea mara nyingi zaidi ya wengine.

Nikapata wazo kuwa niandae list ya walimu wote na madarasa yote yanayotakiwa kusimamiwa alafu niicommand EXCEL iyafeed majina haya yajipange kwenye vyumba vya mitihani kwa usawa na hata yakizidiana kutokea basi iwe kwauchache.

Naja kwenu ndugu zangu,,
Je ni function zipi zitanisaidia kazi hii ya kupanga majina ili angalau walimu watokee kwa idadi sawa (hata kama 100%) katika ratiba hio?

Njuka II
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hapo itabidi tu uingize manually ndg, halafu utengeneze hata table pembeni iwe inacount no of appearance kwa kila mwalimu
 
Kazini kwangu (shuleni) kumekuwa na lawama sana kwamba ratiba ya kusimamia mitihani haina usawa,, kuna wengine wanatokea mara nyingi zaidi ya wengine.

Nikapata wazo kuwa niandae list ya walimu wote na madarasa yote yanayotakiwa kusimamiwa alafu niicommand EXCEL iyafeed majina haya yajipange kwenye vyumba vya mitihani kwa usawa na hata yakizidiana kutokea basi iwe kwauchache.

Naja kwenu ndugu zangu,,
Je ni function zipi zitanisaidia kazi hii ya kupanga majina ili angalau walimu watokee kwa idadi sawa (hata kama 100%) katika ratiba hio?

Njuka II
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Anza kuorodhesha waalimu wote wanaotakiwa kusimamia mtihani na kisha kila mwalimu mpe namba yake. Mfano kama wapo kumi, watakuwa na namba 1,2,......10.
Baada ya hapo chora jedwali linaloonyesha mpangilio mzima wa usimamiaji kila siku ya mtihani. Anza kuweka namba ulizowapa waalimu katika jedwali uliloliandaa. Anza moja hadi kumi, kisha rudia tena namba moja hadi kumi mpaka umakize vyumba vyote vya usimamizi katika jedwali lako.
Kumbuka kila namba inawakilisha jina la mwalimu uliyompa hiyo namba mwanzoni wakati unaandaa majina ya wasimamizi.
Baada ya hapo, jiridhishe kuwa kila namba imejirudia mara ngapi na hiyo ndio itakuwa jumla ya sessions ambazo mwalimu mwenye hiyo namba atasimamia.
Mwisho kabisa jaza majina ya waalimu kwenye jedwali kulingana na namba yake. Mfano kama mwalimu X ulimpa namba moja, jaza X kwenye kila namba moja. Kama 1 imejirudia mara sita, basi mwalimu X atasimamia mara sita.
Mpaka hapo utafanikiwa kuwapanga waalimu wako bila kuhangaika sana na watapishana kidogo sana katika sessions za kusimamia.
Ratiba ikiwa tayari wabandikie ikiwa na idadi ya sessions ambazo kila mwalimu atasimamia ili kupunguza maswali mengi na lawama.
Waliojirudia mara nyingi ambao naamini hawatakuwa wengi, wanote ili katika mitihani inayofuata uwapange katika namna ambayo watajirudia mara chache ili kuleta usawa na kupunguza lawama.
Hakiisha nakala za ratiba za usimamiaji unazitunza kwa ajili ya kumbukumbu, na itakusaidia kuwatambua waalimu ambao wanatakiwa kuongezewa au kupunguziwa sessions kulingana na usimamiaji wa mitihani ya nyuma.
 
Mie ndo naanza kujifunza excel… ktk kurank wanafunzi mfano kwa kutumia jumla ya alama, unaweza kuta wanafunzi wawili wana alama sawa mfano wote wana jumla ya alama 300 na na wamekuwa 1. Yan S/N 1 jumla alama 300 kawa number 1 na S/N 2 alama 300 kawa 1 mie nataka wote wawe na 1.5 kwa maana ya kulingana. Maranyingi nafanya manuel huwa inanichukulia muda kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanapolingana alama. Je, kuna solution fupi?
 
Mie ndo naanza kujifunza excel… ktk kurank wanafunzi mfano kwa kutumia jumla ya alama, unaweza kuta wanafunzi wawili wana alama sawa mfano wote wana jumla ya alama 300 na na wamekuwa 1. Yan S/N 1 jumla alama 300 kawa number 1 na S/N 2 alama 300 kawa 1 mie nataka wote wawe na 1.5 kwa maana ya kulingana. Maranyingi nafanya manuel huwa inanichukulia muda kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanapolingana alama. Je, kuna solution fupi?
Tumia function ya RANK.EQ
 
Back
Top Bottom