Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,304
- 17,860
Kile nilichotaka kukiuliza sio mimiUnahisi wewe kutambulika zaidi?
Kile nilichotaka kukiuliza sio mimiUnahisi wewe kutambulika zaidi?
Mambo ya Bernoulli's principlesJibu ni ndiyo inaweza kuangusha ndege. Kwanza turbulence ni nini. Turbulence inatokea pale ambapo strealine air flow imepotea hivyo kunakuwa na loss of LOSS OF LIFT. Ukipoteza lift unategemea nini rafiki yangu, vinginevyo urudishe lift iliyoanza kupotea. Sasa inategemea na sababu ya hiyo turbulence. Kwa mfano ndege ndogo ikiifuata ndege kubwa kwa karibu zaidi, ndege ndogo inaweza kuanguka kwa ajilivya kupoteza streamline flow kutokana na vortices za ndege kubwa.
Nacelle ni sehemu ambayo inabeba injini
Mkuu unajibu vizuri saana ila terminology ni nyingi kiasi kwamba akina sisi tusioelewa lugha za kindege na fizikia tunapigwa KO.Jibu ni ndiyo inaweza kuangusha ndege. Kwanza turbulence ni nini. Turbulence inatokea pale ambapo strealine air flow imepotea hivyo kunakuwa na loss of LOSS OF LIFT. Ukipoteza lift unategemea nini rafiki yangu, vinginevyo urudishe lift iliyoanza kupotea. Sasa inategemea na sababu ya hiyo turbulence. Kwa mfano ndege ndogo ikiifuata ndege kubwa kwa karibu zaidi, ndege ndogo inaweza kuanguka kwa ajilivya kupoteza streamline flow kutokana na vortices za ndege kubwa.
Asante kwa maswali yako mkuuKWANINI NDEGE IKIANGUKA INALIPUKA HARAKA MNO KULINGANISHA NA VYOMBO VINGINE VYA USAFIRI?
PILI, RADAR NI NINI INA KAZI GANI KATIKA USAFIRI WA NDEGE?
JE NI KWELI KWAMBA NDEGE IKIPITA JUU YA BAHARI HAIPITI KARIBU SANA NA USAWA WA BAHARI? KWANINI?
Tatizo lako unauliza maswali ya kutaka kujua kama najua ama la! Kwa sababu unaonesha unauliza vitu ambavyo unavijua. Umeanza na nacelle sasa tena pylons. Hii ni ushahidi kuwa una knowledge na ndege. Samahani mkuu kama umesahau rejea vitabu vyako ulivyowahi kusoma.Mkuu na engine pylons je?
Asante mkuu kwa ushauri na mimi napenda sana kutumia lugha rahisi ila wakati mwingine nashindwa kutokana na uhaba wa misamiati ya Kiswahili katika lugha ya ndege.Mkuu unajibu vizuri saana ila terminology ni nyingi kiasi kwamba akina sisi tusioelewa lugha za kindege na fizikia tunapigwa KO.
Jaribu kututafsiria kidogo angalau kwa baadhi ya terminologies.
Swali langu: Hivi ni kweli kwamba rubani wa ndege anaweza kuset ndege halafu ikaendelea na safari wakati yeye akifanya mambo mengine humo humo? let's say unaset ndege ijiendeshe kwa mwendo wa nusu saa na wewe ukaamua kwenda maliwato na kunywa chai au kuoga kabisa, then ukarudi ukaendelea na urushaji?!
Swali la pili; mfano ndege imeisha mafuta ikiwa angani, je hakuna namna nyingine ya kuifanya itue pale pale eneo ilipoishilia mafuta bila athari? Kwamba nguvu yake na ufanyaji kazi wake ni mpaka mafuta? (Mfano gari linaweza kuisha mafuta barabarani lakini ukakanyaga breki na kusimama) kwa ndege ikoje hiyo, au ikiisha mafuta hapo hapo inateremka kwa kasi ya ajabu mpaka chini kabisa?!
Asante.
Mlango upi wa nyuma mkuu? Na unafunguka kwa ajili gani?tunaambiwa kuna ndege zenye uwezo wa kufunguka mlango wa nyuma(yaani kwenye mkia) na ambazo haziwezi pindi ziwapo angani..
je zina tofauti gani au kitu gani kilichoongezeka kwenye hio ndege inayofunguka.asante
ule unaopakia mizigoMlango upi wa nyuma mkuu? Na unafunguka kwa ajili gani?
Ok! Bahati mbaya sina uzoefu na ndege za kijeshi ila milango yote ya ndege inaendeshwa na actuators. Nadhani itakua ni mfumo tu ambao pilot akicommand basi actuator inafungua ama kufunga mlango.ule unaopakia mizigo
huwa unafunguka pindi wanajeshi wakifanya mission zao sehemu hutumia kwa kushuka
Mkuu umemjibu vizuriTatizo lako unauliza maswali ya kutaka kujua kama najua ama la! Kwa sababu unaonesha unauliza vitu ambavyo unavijua. Umeanza na nacelle sasa tena pylons. Hii ni ushahidi kuwa una knowledge na ndege. Samahani mkuu kama umesahau rejea vitabu vyako ulivyowahi kusoma.
Tatizo lako unauliza maswali ya kutaka kujua kama najua ama la! Kwa sababu unaonesha unauliza vitu ambavyo unavijua. Umeanza na nacelle sasa tena pylons. Hii ni ushahidi kuwa una knowledge na ndege. Samahani mkuu kama umesahau rejea vitabu vyako ulivyowahi kusoma.