Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ni ukweli usiopingika kuna kamsemo kanaenea sana toka kwa watawala wakidai mikopp ya riba nafuu na wanaongeza isiyo na masharti ila hiyo rina nafuu huwa haisemwi ni ngapi na masharti hayo hayawekwi wazi.
Tuliwacheka mababu zetu kuwa walisaini mikataba mibovu kama Mangungo wa musowero lakini nashangaa hii mikataba ya sasa ya madini na rasilimali inatofauti gani na hizo ya Karl Peters?
Kwa sasa Uchina ndio mkoloni mbaya zaidi ya mzungu wa ulaya na marekani na anataka kuitawala afrika kwa nguvu zote.
Kaanza kiuchumi, ameshawekeza kijeshi na kiutawala na majuzi kaja na donge nono kwa afrika kama kishika uchumba.
Ila kwa taarifa madeni hayo makubwa yasiyolipika yamepelekea nchi ya malesyia kuachia bandari yake kwa china na huku zambia wakijiandaa kichukuliwa kwa uwanja wa ndege wa lusaka ili wawe wanapokea mapato kama marejesho.
Sie awamu hii ya tano mikopo ni zaidi ya trilion 20 zishakopwa itafika kipindi bandari salama itakiwa sio yetu tena.
Tuendelee kuunga juhudi
Tuliwacheka mababu zetu kuwa walisaini mikataba mibovu kama Mangungo wa musowero lakini nashangaa hii mikataba ya sasa ya madini na rasilimali inatofauti gani na hizo ya Karl Peters?
Kwa sasa Uchina ndio mkoloni mbaya zaidi ya mzungu wa ulaya na marekani na anataka kuitawala afrika kwa nguvu zote.
Kaanza kiuchumi, ameshawekeza kijeshi na kiutawala na majuzi kaja na donge nono kwa afrika kama kishika uchumba.
Ila kwa taarifa madeni hayo makubwa yasiyolipika yamepelekea nchi ya malesyia kuachia bandari yake kwa china na huku zambia wakijiandaa kichukuliwa kwa uwanja wa ndege wa lusaka ili wawe wanapokea mapato kama marejesho.
Sie awamu hii ya tano mikopo ni zaidi ya trilion 20 zishakopwa itafika kipindi bandari salama itakiwa sio yetu tena.
Tuendelee kuunga juhudi