Tujenge shule yetu, walimu 10 wanahitajika

Nimekuelewa, Ila yatupasa kupambana mkuu, tukiogopa sana tutaishia kuona mafanikio ya wenzetu tuu
Sawa mualimu naona una nia yadhati katika hilo (solid determination) naomba uniorodheshe katika hao waalimu ila tu ongeza kiwango angalau to be 3m for emergency planning. mie hera yangu ninayo tayari
 
Mahesabu yako ni mazuri ila umesahau kutuambia ni jinsi gani...mtawavutia wanafunzi waje...shuleni kwenu...itakuwa shule ya bure...ambapo baadaye mtaikabidhi kwa serikali ili mjipatie ajira hapo hapo¿ ama itakuwaje¿
 
Sawa mualimu naona una nia yadhati katika hilo (solid determination) naomba uniorodheshe katika hao waalimu ila tu ongeza kiwango angalau to be 3m for emergency planning. mie hera yangu ninayo tayari
Tuma namba yako ya sm pm , jina na mahali ulipo
 
darasa la wanafunzi wangapi hilo kwa 300000?
hujui fundi kwa tofali moja tu gharama ni kama 200-300?
 
hongera mwalimu kwa mawazo yako chanya,simamia wazo lako kwa gharama yoyote,naamini utapata vikwazo vya kukatishwa tamaa,usigeuke nyuma...

mimi sio mwalimu,but ninao ndugu zangu ambao ni walimu na nipo tayari kuwalipia hata wawili ili mradi ziwekwe taratibu zilizowazi...

napengine kwa wale ambao wapo tayari anzisha group la whtssap ili kuendeleza mipango hii
 
Shule za primary kimuundo ni nzuri kwa faida kuliko secondary. Mm ni mwalimu wa secondary, nina experience na biashara ya shule kwa takriban miaka mitano, ukianzisha primary school unapata watoto bado wadogo, ww ndo unaaanza nao, unawamold kitabia, unawapa first sight ya elimu ww, wanapata muda wa kukuzoea na kuanza kukupenda, kisha wanakuelewa. Hapo unakua na guarantee ya ufaulu wao wakimaliza darasa la saba. Ila changamoto ya sekondary ipo kwenye ufaulu tu..uwe na uhakika wa kupata pool nzuri ya watoto kutoka mashule tofauti, yaan pool nzuri kitabia lakini pia msingi wa kingereza na utayar wa watoto, experience yangu inaonesha watoto wengi wanamaliza shule ya msingi hata kiingereza hawajui, sasa na ww ndo unakabidhiwa hao watoto. Ni vgumu kufikia malengo kwakweli kwa njia hio.
 
darasa la wanafunzi wangapi hilo kwa 300000?
hujui fundi kwa tofali moja tu gharama ni kama 200-300?
Kaka ujenzi siku hizi ni makubaliano tuu! Any way mm kuna mafundi nawafaham wanaweza jenga kwa bei hiyo ,darasa si kama nyumba yenye vyumba vingi, ahsante kwa maoni na mchango wako ndugu, tukisha kutana na kujadiliana mambo yataenda vyema kumbuka kwenye wengi hapaharibiki jambo.
 
hongera mwalimu kwa mawazo yako chanya,simamia wazo lako kwa gharama yoyote,naamini utapata vikwazo vya kukatishwa tamaa,usigeuke nyuma...

mimi sio mwalimu,but ninao ndugu zangu ambao ni walimu na nipo tayari kuwalipia hata wawili ili mradi ziwekwe taratibu zilizowazi...

napengine kwa wale ambao wapo tayari anzisha group la whtssap ili kuendeleza mipango hii
Ahsante sana kaka nacho Fanya nikuwa sajili ambao wapo tayari na nia thabiti ya kufanya hii mishe kisha nitatengeneza group
 
Shule za primary kimuundo ni nzuri kwa faida kuliko secondary. Mm ni mwalimu wa secondary, nina experience na biashara ya shule kwa takriban miaka mitano, ukianzisha primary school unapata watoto bado wadogo, ww ndo unaaanza nao, unawamold kitabia, unawapa first sight ya elimu ww, wanapata muda wa kukuzoea na kuanza kukupenda, kisha wanakuelewa. Hapo unakua na guarantee ya ufaulu wao wakimaliza darasa la saba. Ila changamoto ya sekondary ipo kwenye ufaulu tu..uwe na uhakika wa kupata pool nzuri ya watoto kutoka mashule tofauti, yaan pool nzuri kitabia lakini pia msingi wa kingereza na utayar wa watoto, experience yangu inaonesha watoto wengi wanamaliza shule ya msingi hata kiingereza hawajui, sasa na ww ndo unakabidhiwa hao watoto. Ni vgumu kufikia malengo kwakweli kwa njia hio.
Ahsante sana kwa mchango wako chanya, watakao kuwa tayari tutajadiliana ni jinsi gani tuanze ,kwenye wengi hapaharibiki jambo.
 
Hiyo milion 25 ni ndoto KUJENGA SHULE, SITAKI KUKUKATISHA TAMAA LAKINI UMEANZIA CHINI SANA MAKISIO YAKO. HIYI MIL 25 HATA NYUMBA YA KUISHI TUU YA KAWAIDA NI VIGUMU ITOSHE
 
Hiyo milion 25 ni ndoto KUJENGA SHULE, SITAKI KUKUKATISHA TAMAA LAKINI UMEANZIA CHINI SANA MAKISIO YAKO. HIYI MIL 25 HATA NYUMBA YA KUISHI TUU YA KAWAIDA NI VIGUMU ITOSHE
Shukrani sana,
 
Hiyo milion 25 ni ndoto KUJENGA SHULE, SITAKI KUKUKATISHA TAMAA LAKINI UMEANZIA CHINI SANA MAKISIO YAKO. HIYI MIL 25 HATA NYUMBA YA KUISHI TUU YA KAWAIDA NI VIGUMU ITOSHE
acha basi inawezakana sana tena sana kutokana na mikoa usitukatishe tamaa ikishia sehemu tutaongeza tena 25. "try and fail but never fail to try"
 
Ni lazima awe mwalimu professional au hata mtu ambaye ameishia o level ili mradi ajue vyema kufundisha vyema lugha ya kiingereza na kiswahili.
 
Back
Top Bottom