Nimefanya research ndogo na uyasemayo ni sahihi kabisa ila kumbuka kuna watu wamejenga kwa mtaji mdogo sana na sasa wapo mbali ,kuhusu m60 ni sahihi ,kuna watu wanapesa ,kuna makampuni mengi tuu nisiseme mengi sana tutafuata nyayo za hao walofanikisha kujenga kwa pesa kidogo pia penye wengi hapaharibiki neno ,binafsi nimepeleza sana kuhusiana na kitu hii ,nimeshirikisha watu wengi ktk kupata mawazo yao , ahsante sana kwa ushauri ndugu yangu nakuomba tushikamane juu ya hili hakuna mafanikio rahisi bila mapambano ,jaribu kujiuliza hao wanao jenga wana m60? Ni wachache sana wanaojenga kwa kiasi hicho cha pesa am sure tukijitoa tutafika mbali ,tatizo halikimbiwi Bali ni kukabiliana nalo ,ahsante sana kwa mchango wako mzuri