Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Utaweza peke yako kuombea gesi ijae mtungini na ikajaa..!!??Hapana,nitasimama mwenyewe mkuu
Mkusanya sadaka katokea kama upepo wa kisulisuliUbarikiwe sana.
Mimi nilikuwa naomba kitengo cha kukusanya sadaka mtumishi.
Hicho Kitengo cha sadaka kitakuwa na watu wangapi, maana mpaka sasa washafika wanne 😅😅😂😂😂 Hakika hutosahaulika,hakikisha nguo utakayovaa inakuwa na mifukomifuko... maana zikishahesabiwa imeisha hiyo 🤒
Asante sana kwa nafasi hii.😂😂😂 Hakika hutosahaulika,hakikisha nguo utakayovaa inakuwa na mifukomifuko... maana zikishahesabiwa imeisha hiyo 🤒
Mimi nitakuwa mama mchungaji,nipo serious na hili tafadhali....
Ok😂😂Huwezi kuelewa mkuu,mada isipohusiana na Bia...wewe unanaona chengachenga tu
Free of charge, ila watatakiwa kuwa na commitment ya kuhudhuria mafunzo. Nimeplan kuanzia na desktop computer 5 - 6, nitafundisha basic computer applications baada ya hapo nitafundisha general introduction of Computer programming, watakao onyesha interest nitaendelea nao kwenye somo la Programming.Nimeipenda hii,kwahiyo hapa itakuwa free kabisa au watalipia kidogo maana hii suala linahitaji mtaji nalo
Karibu sana mkuuKanisa liwe Dar es salaam maana nahamia huko soon.Tafadhali nipo seriously kabisa 🙏🙏🙏
Kitengo adhimu hiki.Mkusanya sadaka katokea kama upepo wa kisulisuli