Tujenge kabisa wanajf

Tujenge kabisa wanajf

To yeye

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
19,151
Reaction score
34,283
Mimi nitakuwa mama mchungaji,nipo serious na hili tafadhali....
Ili nisiwakere mtakuwa mnanipangia nini Cha kuhubiri sikuhiyo ...ilimradi nanyi msinikere,mkileta mambo meusi naharibu🤒

Kanisa liwe Dar es salaam maana nahamia huko soon.Tafadhali nipo seriously kabisa 🙏🙏🙏

Am in love with my country❤️
#Tanzania forever🙏
 
Mimi nitakuwa mama mchungaji,nipo serious na hili tafadhali....
Ili nisiwakere mtakuwa mnanipangia nini Cha kuhubiri sikuhiyo ...ilimradi nanyi msinikere,mkileta mambo meusi naharibu🤒

Kanisa liwe Dar es salaam maana nahamia huko soon.Tafadhali nipo seriously kabisa 🙏🙏🙏

Am in love with my country❤️
#Tanzania forever🙏
Seriously tho? au unachangamsha uzi?
 
Mimi nitakuwa mama mchungaji,nipo serious na hili tafadhali....
Ili nisiwakere mtakuwa mnanipangia nini Cha kuhubiri sikuhiyo ...ilimradi nanyi msinikere,mkileta mambo meusi naharibu🤒

Kanisa liwe Dar es salaam maana nahamia huko soon.Tafadhali nipo seriously kabisa 🙏🙏🙏

Am in love with my country❤️
#Tanzania forever🙏
Nanukuu... mkileta mambo meusi naharibu ... Mwisho wa kunukuu...!!! To yeye, statement hii uliosema kwenye post yako, inakuondolea sifa ya kuwa mama mchungaji..!! We tuendelee tu kuuza mchele NDONYA 80 kwa siku, haya mambo ya uchungaji tuwaachie akina Mbarikiwa Mwakipesile
 
Kichwa Cha somo ni kujenga kanisa,sijui imekuwaje kabisa jamani
1757147512144.png

Kichwa cha habari ni TUJENGE KABISA WANAJF...!!!
 
Back
Top Bottom