Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 909
- 4,215
Moja ya jimbo linalotabiriwa kwenda upinzani ni jimbo la Kawe, hata hivyo tunayo miaka miwili mbele. Naamini yapo maoni yanayoweza kumwonyesha Mbunge husika alipokosea then aboreshe.
Mchungaji Gwajima amepeleka bonanza na mchezo wa rede Kawe, amejenga madaraja na kufanya jogging zakutosha akiwa na vijana wa kawe.
Pamoja na haya yote, juzi niliomba tufahamu majimbo yanayokwenda upinzani tume ikiwa ya haki. Kawe wakasema wana jambo lao 2025. Tusiwakatalie ila tuwaulize Mch. Gwajima amekosea wapi? Tusaidieni kumfanyia tathimini ya wazi may be tutaona akirekebisha alipokosea.
Karibuni mliopo huko Kawe mtuambie mzee wa Kolomije kawakosea nini?
Mchungaji Gwajima amepeleka bonanza na mchezo wa rede Kawe, amejenga madaraja na kufanya jogging zakutosha akiwa na vijana wa kawe.
Pamoja na haya yote, juzi niliomba tufahamu majimbo yanayokwenda upinzani tume ikiwa ya haki. Kawe wakasema wana jambo lao 2025. Tusiwakatalie ila tuwaulize Mch. Gwajima amekosea wapi? Tusaidieni kumfanyia tathimini ya wazi may be tutaona akirekebisha alipokosea.
Karibuni mliopo huko Kawe mtuambie mzee wa Kolomije kawakosea nini?