Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Assemblies of God, Assemblies of God, haya makanisa yamejaa kila mahali lakini cha ajabu wamiliki tofauti! Sasa jiulize kwa nini wasilifanye kanisa moja, na wao kusaidiana kueneza injili duniani kote (wafungue tu matawi)? Wizi mtupu kila mtu anataka amiliki sadaka za kwake pekeyake. Kuna wanaojiita manabii, wengine wazee wa upako, wanahubiri utajiri na miujiza kwa sababu wameona watanzania wengi ni masikini waliojawa na matatizo. ngoja nisiseme sana ila wajinga ndio waliwao!! Samahani kama kuna mtu nitakuwa nimemkwaza.