Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Kuna sadaka zaidi ya tano, tena hamna usiri, watu wanaambiwa wa elfu kumikumi njooni mbele, kisha anakuwekea mikono na kukuombea.
Mbona Biblia inasema tukiwa tunatoa sadaka hata mkono wako wa kushoto isijue?
Mama Rwakatare ana Roho wa Bwana au roho ya money?
Mbona Biblia inasema tukiwa tunatoa sadaka hata mkono wako wa kushoto isijue?
Mama Rwakatare ana Roho wa Bwana au roho ya money?