Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

Mh! Unaweza uka'explain uhusiano wa hapo kwenye red na kuachana kwenu please?
yap, mhaya was a nice looking guy, but alikuwa very dependent kiasi kwamba he was not able to do his things on his own. muda wote jst asking from her sisters what he shld do, he was not trusting his actions.

kila nikijitahd kumuweka anielewe alishindwa, the day nilipoachana nae huwez kuamini nilimwambia wazi kwamba siwez kuendelea na hatua inayofuata as huwez kujisimamia. kuna jambo ambalo alilifanya baya sana nilipoamua sasa nikae pembeni ndipo aliye mume aliingia kwenye maisha yangu.

anyway ngoja kwanza nitakuja kuwapen ushuhuda wangu jinsi ilivyokuwa nilipotoka kimahusiano ili mnielewe. but hope Mentor ingawa ni mdogo sana can narrate it to you as nafkiri ataikumbuka kwa kiwango kikubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Kaunga unasema Plan B...lolz.....naiona kama ni mada ngeni japo ni challenging!..Kama ulivosema kwa zamani nadhani ilikuwa ngumu kidogo as compared na sasa...Nadhani ni kawaida kwenye maisha kuwa na 'back up' in case ukitokea wakati wa emergence ukapoteza kitu flani basi kiulaaiiini unachukua akiba yako....Lakini kwenye mahusiano nadhani ni ngumu kidogo kuiweka kwenye uhalisia hasa kwa watoto wa kiume..Japo nahisi kwa watoto wa kike inaweza kuwepo (manake wanafuatwa)....Katika zama za sasa ambapo mwolewaji/muoaji ndio wanakuwa 'centre' of everything kwenye ndoa nahisi 'backups' zinaweza kuwepo unlike zamani ambapo 'wazazi' ndo walikuwa 'play makers' kwenye 'uoaji/uolewaji wa watoto wao...

Nadhani kimsingi hakuna Tatizo kuwa na Plan B...as long as mtu akishakuwa committed na mwingine hadi ndoa basi ataachana na backups zote. UZURI wake ni kuwa inasaidia sana hasa kipindi hiki ambamo WASANII wamekuwa wengi... Ndoa zimekuwa kama 'a certain stage of life' ambayo unalazimika tu kuipitia but is not something that is driven by love between the two...Na kwa sababu siioni kama ni tatizo siwezi shauri sana mbinu za kuachana nayo..................
 
Last edited by a moderator:
Unajua concept ya ndoa nayo katika dunia ya utandawazi hii imekuwa ngumu sana kuijadili.
/QUOTE]
You are right aisee
Kwanza waliowafundisha mafunzo hayo ya uchumba ni watawa au watu wenye ndoa zao?? Nataka kupima uzoefu wao wa hali halisi. Mtu anayekufundisha theory ya kuogelea wakati si mwogeleaji ni ngumu sana kujua changamoto za swimming pool, bahari, mto na ziwani. Mengine ana-assume tu kumbe ndivyo sivyo. Hakuna kitu kilichokuwa naona muujiza kama 'alteration in rocks' lakini kiuhalisia ize tu, anyway. Changamoto ya kwanza.
You are right, mwalimu wetu wa dini alikuwa ni mtawa na frate pia. Lakini si mapadri wanao toa mafundisho ya ndoa ilhali wao hawana, na si ndio wanaosuluhisha mafarakano ya ndoa pia. So ilikuwa ni mafunzo kwenye context ya kikristu.
Pili, kuwa na marafiki wengi, afu mchumba mmoja, makusudio yake yalikuwa mchumba mkishindwana unateua rafiki mwingine kuwa mchumba?? Kama ndio, nafasi ya upendo iko wapi? Je, wana-assume kuwa upendo ni equally distributed kati ya marafiki au wachumba tofauti??? Changamoto ya pili.
Makusudio ya awali, ni kuwa mchumba apatikane kati ya marafiki ikiwezekana, na marafiki ni wa jinsia zote. But the main point was vingine vyote waweza kuwa navyo vingi lkn sio mchumba (yule mliyeahidiana kuoana). So obvious upendo hauwezi kuwa sawa.
Lakini pia, ishu ya kuwa na plan B katika dunia ya leo ambayo asilimia kubwa ni kuvuana kyupiz kabla ya ndoa inakuwaje? Nafasi ya uaminifu? Kama wakati wa uchumba tu ambapo bado unamhemuko wa mwenza wako, hamu haikuishi una Plan B, je mkiingia kwenye ndoa? Pale ambapo umeshajua mapungufu yake anakoroma usiku, akila anarusha chakula, labda ni insecure. he is no longer exciting, utakuwa mwaminifu?? Je wakati anashambuliwa na magonjwa kama kisukari, utakuwa mwaminifu?? Je ambapo hana uzazi, utakuwa mwaminifu??
Je wapenzi mtakuwa mnaaminiana wakati mnajua kila mmoja alikuwa na plan B wakati wa uchumba?? Changamoto ya tatu.
Exactly my point; kama umekuwa na nafasi ya kumchunguza na mkakubaliana kuwa wachumba, kwanini kuwe na umuhimu wa kuwa na potential hubby/wifey pembeni? Ina maana neno mchumba ni sawa tu na uBF na uGF? kwanini uwe na mashaka (kama yapo) kwamba akiniacha nitakuwa na mtu mwingine?
Lakini pia, unapokuwa na Plan B, wakati Plan A iko active, una uhakika kiasi gani Plan B itakuoa pale A mambo yanapokwenda mrama? Je Plan B nayo ikiingia mitini? Kutakuwa na haja ya kuwa na Plan C and D labda??
Good question
Aisee, ndoa na mapenzi hayana mahakama wala insurance kwa mtizamo wangu. Noana hapa Plan B inataka kutumika kama insurance hivi.
Good observation pia.
 
wanaume siku hizi wanasababisha wadada wawe na plan B.....maana unakuta dada kajitoa ilhali mkaka anagegeda tu....akiangalia na umri unasonga anakuwa nao 2/3 atayefika bei tu ndo huyo huyo
 
Kwangu, wanaume walio wengi kuwa na Plan B ni kitu cha kawaida, hata baada ya kuoa kuwa na "kidumu" kunasaidia kupunguza pressure. Ukiwa stressed na huyo mmoja, iwapo ndo una huyo tu haaa! Utakufa kwa pressure iwapo akakutendea kosa kubwa! Lakini kama una plan B, naona hata mtu unakuwa stable. Ila kwa wanawake sio vizuri wakawa kama sisi. Historia tangu mwanzo inasema "A man was born a polygamist". Kwa hiyo ipo kwenye damu.
 
Kudate watu wawili kwa wakati mmoja ni swala gumu sana.mi naona kwanza ni kipaji.
Unakaa na mmoja akikushinda unapiga chini unachukua kifaa kipya

Nami nakubali, lakini kipindi gani kinapita kati ya kumpiga chini wa kwanza na kuanza na mwingine??????
 
The coastal Theory ya Mafiga matatu

Swali, yanaleta uhakika wa ndoa??Au ni vibuzi tu vya kununua unga kilo moja na dagaa?

Sijui bwana, watu wa pwani watuambie hasa wanaume. ukiwa hujiamini amini kwa mkeo ndio utamu wa ndoa au kwa yule ambaye unajua huyu ni wangu (uliyemtake for granted)?
 
kwani hapo ume cc kutokana na status? yangu umeijuaje?

Back to topic: Kwa kweli mpango wa kando mara nyingi unatokana na wengi walio kwenye mahusiano kutokuwa na uaminifu, si vyema kuwa na mtu mwingine pembeni wakati unaye ambaye umeji commit kwake

Bolded; hata nami naku-support, lakini nahitaji ufafanuzi kdg. Ktk mila zetu, mara nyingi mwanaume ndiye mwenye sauti ya mwisho kuhusu ndoa right. Sasa kama haeleweki helewi au hata kwa hofu ya kwamba huenda ananichezea tu ndio maana ina sababisha baadhi ya kina dada kuwa na mpango wa pembeni (just in case) so kwa scenerio kama hiyo huoni mdada anakuwa sahihi kuwa na plan B ili asije akaanza mwanzo (remember it takes time hadi kufikia level ya uchumba).
 
sawa ruu kuwa na plan b maana sii ndio mnatuwezesha wanaume kugegeda na kuwaacha

Unajua nini my bro, ni mimi tu na watu wachache sana huwa tunakuelewa mafunzo yako katikati ya migegedo yako. Kwamba mwisho wa siku it is our loss!
 
Na wakaka je? Hawana changamoto hizo?

Mfano elmagnifico tumeshuhudi hapa hapa, kama haikuwa muvi.

Mie nadhani wote tumechachamalishana nywele kwa kweli.

wanaume siku hizi wanasababisha wadada wawe na plan B.....maana unakuta dada kajitoa ilhali mkaka anagegeda tu....akiangalia na umri unasonga anakuwa nao 2/3 atayefika bei tu ndo huyo huyo
 
Last edited by a moderator:
Kaunga may be hapa niseme ukweli kuhusu mimi.

mume wangu alikua rafiki yangu wa kawaida sana, yaani alikuwa ni good friend kwangu hope Mentor unajua vyem this histry. mchumba niliyekuwa naye ambaye alikuwa ni mhaya siku aliponiboa tu nilikwenda kwake kumlalamikia, na nilipochoka but sjui nini kilitokea yeye akaingia kuwa mchumba.

as for me hii kwangu nilisema the mhaya wasn't my choice, manake kama ingekuwa hivyo basi ingework out ila so long as haikufanikiwa basi haikupangwa.

Mhaya is still our good friend na ndio loya wa familia. thanks God kwa wakai tuko friends hakuwah kunigegeda nafkir ndio maana ameweza kuwa rafiki wa familia.

hny, asante kwa kushare your story ingawa sidhani kwamba mumeo alikuwa plan B kwani hukuwa unamdate kipindi uko na mchumbao.
 
Unajua nini my bro, ni mimi tu na watu wachache sana huwa tunakuelewa mafunzo yako katikati ya migegedo yako. Kwamba mwisho wa siku it is our loss!

you know what...i really appreciate kuwa umewaza decipher the message behind the migegedo statements. sasa that said mie naomba tuanze uchumba.
 
Mmh, ni complicated zaidi hapa

Mwanamme ndio ana final say kama mnaoana ama lah, kumbuka ndio anaye-propose
Mwanamke anakuwa judged harsh hasa kama asipoolewa hadi umri fulani
Mwanamme mwenye final say hata akifikisha miaka mingapi he is less judged na jamii

Sometimes waacheni tu wawe na plan B, hata kama haziwaoi ila wanapunguza presha zao.

Bolded; hata nami naku-support, lakini nahitaji ufafanuzi kdg. Ktk mila zetu, mara nyingi mwanaume ndiye mwenye sauti ya mwisho kuhusu ndoa right. Sasa kama haeleweki helewi au hata kwa hofu ya kwamba huenda ananichezea tu ndio maana ina sababisha baadhi ya kina dada kuwa na mpango wa pembeni (just in case) so kwa scenerio kama hiyo huoni mdada anakuwa sahihi kuwa na plan B ili asije akaanza mwanzo (remember it takes time hadi kufikia level ya uchumba).
 
PLAN B??????
lol!naomba nifanye declaration!mi niliolewa na plan A
iiiila sasa!
kwa maisha haya ya wadogo zetu yanavoendelea haya!
nahisi kama uhalali wa plan b umeshakuwa ndo mpango mzima!
binti kaleta home mchumba january mchumba kamwacha march dada zake twaitwakwenye kikao cha kwanza!
kijana kapeleka posa june august kaachwa oct anatangaza ndoa!
basi mradi ndo imeshakuwa!
napata hofu kuwa hizo ndoa fwata hizo kama kweli ni uchumba au urafiki mpya!SIDHANI!

Aisee
so uchumba umepoteza maana yake halisi au watu wanatumia gear ya uchumba kupata chance ya kumgegeda mtu???
 
Hii mambo ya plan B ni tamaa tu za wanawake either ya hela au ya ngono.
 
::
Kuna mwenzenu alijifanya kuniweka plan B,,nilichomfanya alisema hadi wajukuu zake atawasimulia
=

We mbaya, umemfanyia nini mwenzio. Ila kweli inaboa sana kuwekwa plan B
 
Back
Top Bottom