jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,615
- 4,389
Dar kwa sasa masaa ya njian yamepungua kwa sana sehemu ya kupoteza sana maybe iwe within 1.30Lakini pia mkuu ukitoka kazini 9:30 kwa mazingira ya DSM nyumbani ukiwahi basi ni saa 11 jioni hapo ubebe matunda ukapange road hiyo ni saa 1 usiku.
Il ile ha mqsaa matatu hapana. Kwanza hata hiyo ndefu gongo la mboto tu wanawah saiv