- Thread starter
- #141
Kwani unakimbizwa,au umeambiwa uwahi kutoa habari utapewa zawadi,unasema utakuwa rahisi kupita mitandao yote tueleze kivipi,kwa mfano ungesema kwa sekunde au dakika bei yake itakuwa hivi,kupiga kwenda mitandao fulani itakuwa kiasi hiki kwa muda wa sekundu au dakika,kifurushi cha data kituwa GB fulani kwa TZS halafu hapo ndio tuone huo utofauti,lasivyo subiri kuanza ,ukipata maelezo ya kina ndio uje utuhabarishe hapa kwa sasa hayo maelezo ni kama propanganda za uchaguzi wa raisi,wabunge na madiwani utakaofanyika mwezi huu
Subiri utaona,kabla hujajibu ni vizuri ukapitia taarifa fupi kutoka vyanzo vingine