Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

nimenunua line halotel na muda wa maongezi . kwa kweli hakuna cha unafuu wowote maana nimepewa dkk 30 kwa mwezi , hii ina maana nitumie dkk 1 kwa siku.
 
Hatutaki taki dakika tunataka data ziwe bei nafuu, hatutaki zile mb moja kwa mia 500 na bila kikomo ni mb 700...huu ni ungese
 
mi nasubiria vifurushi vyao vya internet tu nione sio tigo wanatuibia.....toka mb 8 mpaka mb 1 kwa 500 kweliiii????
 
niliona walivyozindua dar, nikawapigia simu kuwauliza kama wameshapeleka mikoani wakasema wanaenda soon after uzinduzi..so jana niko njiani to arusha naonda mabango saying halotel inapatikana hapa,ikabda nikaulize kumbe wamepeleka vibao tu kwanza...bt i hope soon watasambaa
 
Back
Top Bottom