Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

Kwa wingi wa nyaya walizotandaza, tarrifs zao zitakua cheap sana I believe, pia watakuwa na very strong network
 
Fisadi papa lowassa ana hisa nyingi sana Vodacom ndio maana Vodacom inawanyonya Watanzania bila aibu wala uwoga. Halafu vilaza mnaonyonywa eti mnataka mabadiliko ya kumpeleka mnyonyaji ikulu, huko si ndio atawakamua kisawa sawa! Lowassa angekuwa na uchungu na hii inchi, asingeruhusu Vodacom kuwanyonya Watanzania wakati yeye pia namiliki sehemu ya Vodacom. Tafakari Chukua Hatua. CHAGUA MAGUFULI #HapaKaziTu
kweli ww ni mtoto wa gamba. jivue kwanza hilo gamba ndo uje hapa. shareholder mkubwa wa vodacom mtz ni rostam aziz na ana 30%. nyingine ni viongoz wa serikali ya awam ya 3
 
Hakuna jipya kwenye huo mtandao,vifurushi vyao ndio kama vile vya airtel,voda na tigo.
 
Habarin, naomba kujua huu mtandao unaweza kutumika kwa mikoa yote hadi vijijin?? na Vipi upatikanaji wa vocha zake.
 
Nmeweka line Yao na open data but hai access.... Tatizo laweza kuwa nn.... Au umeme ukikatika na net inasepa????
 
sijaona utofauti mkubwa na mitandao mingine, wala hizo smatphone zao za mediateck zenye display za vga 4.5 sio chochote za kawaida sana
 
Nmeweka line Yao na open data but hai access.... Tatizo laweza kuwa nn.... Au umeme ukikatika na net inasepa????

tuma neno CONFIG kwenda no 15503 Then utatumiwa configuration sms na password yao ni 1111 then install ukimaliza install nenda kaedit APN name weka b-internet then anza kuenjoy kama kawaida.
 
tuma neno CONFIG kwenda no 15503 Then utatumiwa configuration sms na password yao ni 1111 then install ukimaliza install nenda kaedit APN name weka b-internet then anza kuenjoy kama kawaida.
Sante sana. Imekubal
 
sijaona utofauti mkubwa na mitandao mingine, wala hizo smatphone zao za mediateck zenye display za vga 4.5 sio chochote za kawaida sana

Si unajua wenye mahaba wao kila king'aacho kwao ni dhahabu
 
Shing.....sio 24 hrs tena sasa hivi mwisho saa 11:59 pm
 
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?

Wamechimbia waya chini ya ardhi nchi nzima toka mwaka 2010 walikuwa wanasambaza nyaya. Kwasasa wamesambaza kona zote za nchi. Na wanaminara michache tu. Hule waya wanaochimbia unauwezo wa kusambaza mawasiliano kwa km zaidi ya 100 toka ulipo.
 
Mmmh! Yangu macho...nashauli mbakize maneno ya akiba....
 
Mtandao wa CCM huu, kinana alienda Vietnam kuingia mkataba. Acha propaganda. Kifupi mimi situmii products zozote za CCM
 
Back
Top Bottom