Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
TCRA hawawezi kuwaacha wafanye watakavyo.
Tigo, voda na airtel lazima wafanye hujuma.
sidhana kama ni kweli mbona Smart Tanzania vifurushi vyao ni tofauti na hao uliowataja
TCRA hawawezi kuwaacha wafanye watakavyo.
Tigo, voda na airtel lazima wafanye hujuma.
karibu halotel ,voda ,airtel na tigo wanatupiga sana .ntatupa line zote na kubaki na halotel
Ngoja wake tuone ila tatizo linakuja wenye hio mitandao mikubwa wana moles ktk serikali hivyo wakiona hawa jamaa wanawatoa sokoni, wataingilia na TCRA watakuja na kale kamsemo ka ku-promote a level playing field to all competitors!
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?
Mkuu hawa Halotel ni matapeli tuu hata siku moja haiwezkani wakaja bei chini kamavile wapo huko kwao Vietnam.
Hawa Halotel hatasiku moja hawatoweza kushindana na big3(voda,airtel,tigo).
ukizingatia mishaara yao ipo chini sababu ya cheap working force..
Msijipe matumaini hewa..
Mitambo ipo on kwaiyo ili kujua kama wapo fanya manual seach ya operators eneo ulilopo utawaona wanatumia jina Hit TZ.
View attachment 297332View attachment 297332
LAKN pia huko Zanzibar ulishaona wanachimba mitaro na kutandaza nyaya? Maana huku bara wametandaza nyaya karibu nchi nzima.
Mtandao wao una nyaya Inapita ardhini, huwezi ona minara mingi, wana minara michache alafu mirefu sana ile myembamba. Sehemu nyingine wamenyanyua juu nguzo kama za ttcl.
Hao ndio halotel wengine tushaanza watumia kama freelancer
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?
kabla ya kusifia huo mtandao inakubidi ujiulize swali hili!
je, huo mtandao utaendeshwa kwa sheria na taratibu za nchi gani?
-maana kama na Tz Kampuni pekee inayoweza kutoa huduma kwa bei nafuu ni ile iliyo chini ya serikali (TTCL) haya mengine hawawezi kwani kufanya hivyo itakuwa hasara kwao.