Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Nimesearch manually nimekuta: Hits Tz ..sijui ndio wenyewe?
ndo wenyewe hao halotel
Nimesearch manually nimekuta: Hits Tz ..sijui ndio wenyewe?
Mtandao wa simu mpya toka Vietnam Halotel (vietel),utazinduliwa rasmi jumatano 14/10/2015. Ni mtandao utakaotoa Huduma kwa bei ndogo kabisa kuliko mitandao yote nchi nzima na Huduma zao zitapatikana vijijini, njiani, mijini, maporini na baharini, kila sehemu utayokua utakua hewani.
Watazindua na smart phones zao zenye ubora na garama nafuu kabisa,kwa kuzingatia kipato cha mtanzania Wa kawaida,
Mimi nitakuwa Wa kwanza kununua line ya halotel na smart phone ya halotel (vietel) sababu nimechoka unyonyaji Wa Vodacom na Airtel.
Jamani smart nao wameishia wapi?
Jumatano si ndo Leo
Mtandao wa simu mpya toka Vietnam Halotel (vietel),utazinduliwa rasmi jumatano 14/10/2015. Ni mtandao utakaotoa Huduma kwa bei ndogo kabisa kuliko mitandao yote nchi nzima na Huduma zao zitapatikana vijijini, njiani, mijini, maporini na baharini, kila sehemu utayokua utakua hewani.
Watazindua na smart phones zao zenye ubora na garama nafuu kabisa,kwa kuzingatia kipato cha mtanzania Wa kawaida,
Mimi nitakuwa Wa kwanza kununua line ya halotel na smart phone ya halotel (vietel) sababu nimechoka unyonyaji Wa Vodacom na Airtel.
Mmenikumbusha ile kampuni nyingine ilikuja na same colour za orange hivi. Wakauza modem bei rahisi na watu wakabakia na modem Kama souvenir.
Shamba la bibi at your disposal, karibu Mgeni.
Mtandao wa simu mpya toka Vietnam Halotel (vietel),utazinduliwa rasmi jumatano 14/10/2015. Ni mtandao utakaotoa Huduma kwa bei ndogo kabisa kuliko mitandao yote nchi nzima na Huduma zao zitapatikana vijijini, njiani, mijini, maporini na baharini, kila sehemu utayokua utakua hewani.
Watazindua na smart phones zao zenye ubora na garama nafuu kabisa,kwa kuzingatia kipato cha mtanzania Wa kawaida,
Mimi nitakuwa Wa kwanza kununua line ya halotel na smart phone ya halotel (vietel) sababu nimechoka unyonyaji Wa Vodacom na Airtel.