ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Dat true mkuu..Siku zote ukianza biashara huwezi anza na bei sawa na waliokuwepo kwa miaka 15 utashusha bei kwanza
Dat true mkuu..Siku zote ukianza biashara huwezi anza na bei sawa na waliokuwepo kwa miaka 15 utashusha bei kwanza
Nchi itabaki salama kweli? Jeshi la nchi nyingine kuendesha kampuni ya mawasiliano ndani ya nchi nyingine
hawa jamaa tatizo lao kubwa ni kuweka internet ya 2g vijijini hivyo czan kama watateka soko kwani kwa kuweka 2g netwek vjijin kutafanya watu wengi wasivutiwe mtandao huu
Kwa mjini watateka soko km watakuwa na bei nzuri kulinganisha na makampuni mengine
Intanet iko fasta sana minara haishuk
sidhana kama ni kweli mbona Smart Tanzania vifurushi vyao ni tofauti na hao uliowataja
Awa jamaa minara yao wameijenga sana vijijin mm nilikua kiteto yana kule ambapo hakuna mawasiliano wao ndo wameweka minara yaoHuo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?
Waje na hallo-pesa kabisa! Tunahama na kila kilicho chetu!
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?