ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,463
Habarani marafiki wote
Nimeleta mada hii hapa tujadili kwa pamoja na sio kujoke
Kati ya Baba na Mama nani ni muanzilishi wa kumharibu mtoto
kimaadili na kumfanya mtoto awe mento na kudata kupitiliza?
Nani ampaye vitu (simu, tablet n.k) hatarishi mtoto na kufanya akengeuke na
kuiacha njia sahihi ya maadili mema
Marafiki hebu tujadili kidogo hapa nini kifanyike ili mtoto aweze kurudi katika
nafasi yake kama mtoto kwani siku hizi maadili yameporoka na vijana wengi
wamekengeuka wazazi wanalia kila iitwapo leo. Toa ushauri mzuri nini kifanyike
hapa nchini kwetu na ulimwengu mzima.
Karibuni mabestitooo
Nimeleta mada hii hapa tujadili kwa pamoja na sio kujoke
Kati ya Baba na Mama nani ni muanzilishi wa kumharibu mtoto
kimaadili na kumfanya mtoto awe mento na kudata kupitiliza?
Nani ampaye vitu (simu, tablet n.k) hatarishi mtoto na kufanya akengeuke na
kuiacha njia sahihi ya maadili mema
Marafiki hebu tujadili kidogo hapa nini kifanyike ili mtoto aweze kurudi katika
nafasi yake kama mtoto kwani siku hizi maadili yameporoka na vijana wengi
wamekengeuka wazazi wanalia kila iitwapo leo. Toa ushauri mzuri nini kifanyike
hapa nchini kwetu na ulimwengu mzima.
Karibuni mabestitooo