Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,927
- 2,806
Kutakuwa na hujuma sehemu. Binafsi siamini kuwa kweli kuna div 0 zaidi ya laki 2. Hiyo mitihani irudiwe tena kusahihishwa na taasisi makini. Tatizo jingine ni walimu waliopo. Licha ya kutopata maslahi mwafaka, hawa walimu wengi wao ni 'vihiyo'. voda fasta. wanafunzi wanafundishwa kujibu maswali badala ya kujua somo linataka nini. Hao wanaosahihisha wenyewe ni vihiyo. hawana marking scheme. Hawana maadili. Nasema pamoja na hao wanafunzi kuwa na nafasi yao katika kufeli, wamefelishwa pia. Mitihani irudiwe kusahihishwa.